Watanzania waliopo Afghanistan

Hayo makundi yanafuata interest zao
Ila mtanzania km hakuajiriwa na NGOs za umoja wa mataifa kuna utata
Kwa hiyo mbongo akienda kwa ugaidi sio interest yake!! Au interest ni nini?
 
Unafki unaendelea dhidi ya Taliban,, mleta uzi mwambie Biden arudishe majeshi humu jf kupiga soga haisaidii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…