Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Nini shida huko bondeni idadi kubwa ya misiba ya vijana wa kitanzania. Nipo kwenye group hili la mabaharia naona vifo ni vingi sana watu wanaripoti mara kwa mara sasa vijana wadogo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkumbuke kuwekeza kwenuMambo ya jandoni yaache huko huko, kitendo cha baharia kwenda SA elewa ni mpambanaji, ame take risks za kimaisha na sio Lia Lia au lalama lalama kama wa humu ndani, na hujaombwa hata 1cent ya mchango, relax mkuu, u beach boy wa Durban hadi mother city ni wa ngoma ngumu, usisikie
😂Mkumbuke kuwekeza kwenu
Kiufupi watafute hela waishi vizuri Kesho itajisumbukia yenyewe.Mkumbuke kuwekeza kwenu
Kuna wanangu wako SA ukiangalia walipotoka kupo ovyo. Na wao hawajafanya investment za maanaKiufupi watafute hela waishi vizuri Kesho itajisumbukia yenyewe.
Yes, hata ukikaa Bongo ukiendekeza ngono na Mdogo ake Pombe huwezi kusogea Popote.Kuna wanangu wako SA ukiangalia walipotoka kupo ovyo. Na wao hawajafanya investment za maana
Vijana wengi wanaenda SA kupoteza muda
Tukae kwenye mada husikaYes, hata ukikaa Bongo ukiendekeza ngono na Mdogo ake Pombe huwezi kusogea Popote.
Hazijui itikadi za "Mpumalanga Gang"Mambo ya jandoni yaache huko huko, kitendo cha baharia kwenda SA elewa ni mpambanaji, ame take risks za kimaisha na sio Lia Lia au lalama lalama kama wa humu ndani, na hujaombwa hata 1cent ya mchango, relax mkuu, u beach boy wa Durban hadi mother city ni wa ngoma ngumu, usisikie
Yaani hawa royal families 👪 wameshajiona Tanzania belongs to them, ila wapo wapo wachache huwa wanaingia kwenye 18 za ma beach boys na wanapewa displine kubwa,baba/mama/dada/kaka/zao ndio wanasababisha beach boy's kuimbia nchi na bila ya passport, wao wanaletewa kwenye comfort zones zao, Leo anakurupuka kujua mambo ya jandoni!,pumbavu sanaHazijui itikadi za "Mpumalanga Gang"
Maneno meeeeeengiMambo ya jandoni yaache huko huko, kitendo cha baharia kwenda SA elewa ni mpambanaji, ame take risks za kimaisha na sio Lia Lia au lalama lalama kama wa humu ndani, na hujaombwa hata 1cent ya mchango, relax mkuu, u beach boy wa Durban hadi mother city ni wa ngoma ngumu, usisikie
Wenyewe wanaita IBUKA KIWANJANI.......🤓🤓Habari za Kiumeni hizo ukitaka kujua zaidi ibuka Bondeni