Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Watanzania wana ukosefu wa akili. Hili ni tatizo kubwa sana. Utaona wanawaza Simba na Yanga tu. Hawana jambo lingine la maana.
Yanga kupoteza match ya jana imekuwa issue kubwa sana.mjadala kila sehemu. Kama ilivyokuwa kwa Simba. Utashangaa hawa watanzania hawajui Wabunge wao hawapo Bungeni. Na wanapitisha mambo ya kipumbavuh. Hawajali.
Mitanzania itazungumzia Simba na Yanga siku nzima. Week nzima na mwezi mzima. Maendeleo hakuna. Huu ni wendawazimu.
Watanzania watahitaji sana kupata akili kuliko Oxygen. Hii si ya Muhimu sana kwa watanzania. Mnaweza ifunga Oxygen isipatikane ili ipatikane akili.
Yanga kupoteza match ya jana imekuwa issue kubwa sana.mjadala kila sehemu. Kama ilivyokuwa kwa Simba. Utashangaa hawa watanzania hawajui Wabunge wao hawapo Bungeni. Na wanapitisha mambo ya kipumbavuh. Hawajali.
Mitanzania itazungumzia Simba na Yanga siku nzima. Week nzima na mwezi mzima. Maendeleo hakuna. Huu ni wendawazimu.
Watanzania watahitaji sana kupata akili kuliko Oxygen. Hii si ya Muhimu sana kwa watanzania. Mnaweza ifunga Oxygen isipatikane ili ipatikane akili.