Watanzania wanaocheza mpira nje ya nchi

fimboyaasali

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
8,617
Reaction score
8,244
Kama kuna mdau humu,mjuzi wa mambo,naomba atuwekee orodha ya watanzania wanaocheza mpira wa kulipwa nje ya nvhi na makocha wanaofundisha nje ya nchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yule mwarabu wa simba anafundisha oman ndiye kocha pekee wa tanzania anayefundisha nje
 
wako wengi.. kuna watanzania wengine wanacheza timu za madaraja ya chini uko ulaya. hata huku tff haiwajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…