Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
Thanks Binti Maringo, i am also not exposed!!!😛
Mmh i am confused now...last time ulisema umeshakaa ulaya na marekani so you know what time it is...sasa inakuwaje leo unasema haupo exposed?....enlighten me please!.
Nitakuitia Johny English.....LOL![/FONT]
Samahani sikukuelewa, kama ni kwa hilo yes, ila huwezi kujua maana
I might been/lived in europe na umarekani lakini bado nikawa na exposure sufuri!!! maana kama nilikuwa jonny kisomo ndio mbaya kabisa!!!
Hahahhaaaaaaaaa....😀 Brace yourself for super english, we ngoja mwenyewe akusikie
Unadhani namuogopa basi yeye aje na combora lake la vocabulary miye nitamrudishia patriot...all in all JOhn English is a cool guy ana make sense sometimes you know.....i would really like to meet him some day hata for a cup of coffe you at starbucks....
Thanks BM, all the best in your mission to meet the guy!!😛
No problem MTM!....Anytime!....aisee nina mzigo wangu pale Mufindi unaweza kunichukulia siku ukiwa unaenda pande ile?...
I guess inabidi niwe na dictioanry pembeni siku hiyo hahaha kazi kweli kweli...Abra Kadabra!.
well well well. waTz wanaoniboa ni wengi sana wengine hata siwajui majina. Nway to be exact, karibu kila mTz ananiboa kwa sababu moja au nyingine.
wewe unaboreka kwa 'tabia' yako mbaya! hauna lolote! kila kitu kukashifu tuuuuu....
Umenisaidia, mmoja wa waTZ wanaoniboa ni wewe. Asilimia kubwa ya posts zako zina 0 input. Na nakupa hongera kuwa umeingia ktk list yangu. (soma signature yangu).
Orijino Komedi,wanaboa sana kwa sababu
1.Wanawadharirisha na kuwacheka walioshindwa kimaisha(waliofulia)
2.Creativity imeisha
3.Hawataki kusikiliza ushauri wa watu.
hahahah wanajaribuHivi Tanzania tuna wanamziki? [Sic]