Watanzania wanaolia na tozo ni malimbukeni

Watanzania wanaolia na tozo ni malimbukeni

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Watanzania wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo, na wanahisi wameonewa, hawastahili wao kutoa tozo, wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo, wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia, choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia, mnasema nini nyie?

Itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo, hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo, ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo.
 
Ok, huku tozo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa at the same time unapokea mkopo toka WB kwa ajili ya kazi hiyo hiyo, sijui nani ni limbukeni kwa mtindo huo.
 
Mkienda Ulaya mnakuwa wakimbizi,unapewa chumba,unalipwa,watoto wako wanasomeshwa mnafikiri ile hela wanachapisha?

Hayo yatawezekana ikiwa na sisi tutakuwa mstali wa mbele kulipia tozo, kesho na kesho kutwa utasikia watanzania wasio na kazi watalipwa laki moja kwa mwezi,

Hivi mnafikiri siku wapinzani wakibahatika kuongoza nchi hii,maana inabidi itokee bahati,kwa kura msahau, sasa mnafikiri watafuta tozo?

Hao Wakuu wenu waliokimbilia huko majuu wanajua nini tozo na ndilo lililofanya wapewe makazi ya bure na kulipwa.

Iko siku mtafahamu na kuelewa faida ya tozo ,mtaona mmechelewa sana kuanzishiwa mikakati hio.
 
Watanzania wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo, na wanahisi wameonewa, hawastahili wao kutoa tozo, wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo, wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia, choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia, mnasema nini nyie?

Itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo, hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo, ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo.
Limbukeni ni wewe ambaye unashangilia kila tamko la ccm kama vile zuzu.

Unashangila matozo wakati wewe mwenyewe hata uhakika wa milo miwili tu huna.
 
Mkienda Ulaya mnakuwa wakimbizi,unapewa chumba,unalipwa,watoto wako wanasomeshwa mnafikiri ile hela wanachapisha ?

Hayo yatawezekana ikiwa na sisi tutakuwa mstali wa mbele kulipia tozo ,kesho na kesho kutwa utasikia watanzania wasio na kazi watalipwa laki moja kwa mwezi,

Hivi mnafikiri siku wapinzani wakibahatika kuongoza nchi hii,maana inabidi itokee bahati,kwa kura msahau, sasa mnafikiri watafuta tozo ? Hao Wakuu wenu waliokimbilia huko majuu wanajua nini tozo na ndilo lililofanya wapewe makazi ya bure na kulipwa.

Iko siku mtafahamu na kuelewa faida ya tozo ,mtaona mmechelewa sana kuanzishiwa mikakati hio.
Akili zako zina mapungufu ya virutubisho
 
Ok, huku tozo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa at the same time unapokea mkopo toka WB kwa ajili ya kazi hiyo hiyo, sijui nani ni limbukeni kwa mtindo huo.
Wanatufanya watu hatuna akili za kujua kama tunapigwa
 
Mkienda Ulaya mnakuwa wakimbizi,unapewa chumba,unalipwa,watoto wako wanasomeshwa mnafikiri ile hela wanachapisha ?

Hayo yatawezekana ikiwa na sisi tutakuwa mstali wa mbele kulipia tozo ,kesho na kesho kutwa utasikia watanzania wasio na kazi watalipwa laki moja kwa mwezi,

Hivi mnafikiri siku wapinzani wakibahatika kuongoza nchi hii,maana inabidi itokee bahati,kwa kura msahau, sasa mnafikiri watafuta tozo ? Hao Wakuu wenu waliokimbilia huko majuu wanajua nini tozo na ndilo lililofanya wapewe makazi ya bure na kulipwa.

Iko siku mtafahamu na kuelewa faida ya tozo ,mtaona mmechelewa sana kuanzishiwa mikakati hio.
Hapo ndo umejenga hoja??
Mtoto wa mbuzi kweli nae kamba ni yake tu
 
Wewe unafanya kazi gani? Ungekua mkulima au unajiahangaisha na vishughuli vidogovidogo ambavyo ndo watanzania wengi tunafanya huo utumbo ulioandaka usingejaribu kuuleta hapa, TOZO ZIFUTWE
 
Watz wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo,na wanahisi wameonewa,hawastahili wao kutoa tozo ,wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo,wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia,choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia ,mnasema nini nyie ?

itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo,hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo,ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo.
Siyo ulimbukeni bali kiwango chake bado nikikubwa sana siyo rafiki kikishuka serkali itakusanya pesa zaidi,Tanzania tuna Sera ambazo siyo shiriki,Sera ambazo siyo shirikishi huwa hazifanikiwi( uncertainty policies)
 
Tunalia na tozo kwa sababu hii👇
MAElFFr.jpg
 
Ok, huku tozo kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa at the same time unapokea mkopo toka WB kwa ajili ya kazi hiyo hiyo, sijui nani ni limbukeni kwa mtindo huo.
Hapo mm ndo nachoka hizo tozo zinaenda wapi
 
Watz wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo,na wanahisi wameonewa,hawastahili wao kutoa tozo ,wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo,wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia,choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia ,mnasema nini nyie ?

itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo,hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo,ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo.
Unagongwa wewe!!
 
Watanzania wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo, na wanahisi wameonewa, hawastahili wao kutoa tozo, wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo, wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia, choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia, mnasema nini nyie?

Itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo, hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo, ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo

Watanzania wengi hawaelewi tozo ni kitu gani na wanaona ni jambo lipo hapa Tanzania tu huko duniani halipo, na wanahisi wameonewa, hawastahili wao kutoa tozo, wanaona mambo mengine hayatakiwi kulipiwa tozo, wandugu huko majuu hata zile mataka unatupa unayalipia, choo unaenda haja kubwa na ndogo unalipia, mnasema nini nyie?

Itokee tu raisi aliyepo aziondowe lakini hakuna kisicholipiwa tozo, hizi Tv mnatazama majumbani nazo zinalipiwa tozo, ulizeni sio mnakaa kwenye vijiwe na kupakana uongo.
Unasema hata nchi zingine zina tozo, lakini hutoi mifano ya hizo nchi. Halo hoja inakuwa ya kipurure na mfu.
 
Back
Top Bottom