MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,252
- 8,003
Ukweli ni kwamba kuna watu au kundi la watu halitaki kusikia kabisa hii kitu, Lakini kuna mwamko Mkubwa sana na spirit iliyowajaa watanzania katika haji ya juu kutaka kupata katiba mpya itakayowakomboa wao pamoja na vizazi vyao.
Kwa hali inavyoonekana ni kwamba ndio watanzania kwa sasa wanaona ni mzigo pekee ulioko mbele yao, mzigo huu wanaona kua ni mzito sana kuliko wanavyofikiria. Kibaya zaidi ni pale ambapo kundi moja la watu halitataka kusikia kitu kama hicho lakini wananchi walio watahitaji.
Watanzania wameshagundua kua matatizo ya taifa lao yanasababishwa na kukosekana kwa katiba mpya na bora, hivi sasa katiba inaenda kua habari ya mjini.
NB: kama wengi wanahitaji katiba, wachache hawahitaji katiba, basi wale wachache ndio kikundi cha watu.
Kwa hali inavyoonekana ni kwamba ndio watanzania kwa sasa wanaona ni mzigo pekee ulioko mbele yao, mzigo huu wanaona kua ni mzito sana kuliko wanavyofikiria. Kibaya zaidi ni pale ambapo kundi moja la watu halitataka kusikia kitu kama hicho lakini wananchi walio watahitaji.
Watanzania wameshagundua kua matatizo ya taifa lao yanasababishwa na kukosekana kwa katiba mpya na bora, hivi sasa katiba inaenda kua habari ya mjini.
NB: kama wengi wanahitaji katiba, wachache hawahitaji katiba, basi wale wachache ndio kikundi cha watu.