Watanzania wanataka upinzani wenye nguvu ili serikali ifanye kazi yake vizuri

Watanzania wanataka upinzani wenye nguvu ili serikali ifanye kazi yake vizuri

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Gap limekuwa kubwa kati ya wenye nacho na wasio nacho kwa sababu ya

  • Upinzani dhaifu
  • Kutekwa watu hovyo
  • Rushwa kila kona
  • Kupotea kwa watu
  • Mauaji bila sababu
  • Viongozi walarushwa
  • Viongozi wazembe
  • Viongozi mafisadi
  • Jamii ya kichawa
  • Huduma za kijamii mbovu
 
Back
Top Bottom