DUh!! mwalimu Shirima uliniambia mjini kuna Wazungu ukienda utawaona na utawasalimia Goodmornng after noon nakazalika kila siku napita nawaona kwenye duka la nguo nawashtuaga Mmnabebwa upumbavu na huyo mchaga endeleeni kusimama hapo dukani kwakwe mkishangaa anga.