Watanzania Wapewa Fursa ya Kushiriki Maonyesho ya Kimataifa Bure!

Watanzania Wapewa Fursa ya Kushiriki Maonyesho ya Kimataifa Bure!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Joined
Sep 22, 2008
Posts
53,857
Reaction score
121,995
image.tiff
Wanabodi,

Ingetrex Tanzania, ni Maonyesho ya Kimaifa ya Biashara, ambayo yatafanyika kwa siku 3 katika Ukumbi wa Diamond Jubilee, kuanzia Tarehe 15 hadi 17 ya mwezi huu wa May.

Katika maonyesho hayo, makampuni mbalimbali kimataifa, yataonyesha bidhaa zake, ila pia waandalizi wa Maonyesho hayo, wametenga mabanda 10 mahsusi kwa makampuni na wajasiliamali wa Kitanzania wenye bidhaa za viwango vya kimataifa.

Mabanda hayo 10 kwa ajili ya wajasiliamali wazalendo, yametolewa bure, hivyo hii ni fursa adimu kwa Watanzania kuchangamkia fursa on the basis of first come, first saved!.

Kama unahusika na biashara yoyote ya bidhaa au ya huduma, au unamjua mtu mwenye biashara yoyote ya bidhaa, au ya huduma yenye viwango vya kimataifa, mjulishe kuhusu fursa hii.

Kwa maelezo zaidi, tembelea hapa [h=3]INGETREX TANZANIA | Dar es Salaam / Tanzania.[/h]
Natanguliza shukrani.

Pascal.
 

Attachments

  • tanzania davetiye-3.jpg
    tanzania davetiye-3.jpg
    700 KB · Views: 56
asante mkuu kwa kutujulisha jambo hili la baraka ngoja tuchangamkie fursa hii kwani ni adimu sana
 
Back
Top Bottom