Pre GE2025 Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni hapana!

Pre GE2025 Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni hapana!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
 
Wananchi hata kama hawana uwezo wala tofauti na viongozi, wakiongea wana haki kwa sababu angalau wao wamejijua hawana uwezo hawakugombea uongozi.

Walioamua kugombea uongozi hawawezi kuepuka lawama, kwa sababu wao wameamua kugombea uongozi.

Ni hivi, mwananchi wa kawaida anaruhusiwa kuwa mjinga. Kwa sababu yeye hajachukua mzigo wa kugombea uongozi na kuongoza watu.

Kiongozi haruhusiwi kuwa mjinga.

Kwa sababu yeye kachukua mzigo wa kuongoza watu.
 
Wananchi hata kama hawana uwezo wala tofauti na viongozi, wakiongea wana haki kwa sababu angalau wao wamejijua hawana uwezo hawakugombea uongozi.

Walioamua kugombea uongozi hawawezi kuepuka lawama, kwa sababu wao wameamua kugombea uongozi.

Ni hivi, mwananchi wa kawaida anaruhusiwa kuwa mjinga. Kwa sababu yeye hajachukua mzigo wa kugombea uongozi na kuongoza watu.

Kiongozi haruhusiwi kuwa mjinga.

Kwa sababu yeye kachukua mzigo wa kuongoza watu.
Sijui kama atakuelewa.
 
Wananchi hata kama hawana uwezo wala tofauti na viongozi, wakiongea wana haki kwa sababu angalau wao wamejijua hawana uwezo hawakugombea uongozi.

Walioamua kugombea uongozi hawawezi kuepuka lawama, kwa sababu wao wameamua kugombea uongozi.

Ni hivi, mwananchi wa kawaida anaruhusiwa kuwa mjinga. Kwa sababu yeye hajachukua mzigo wa kugombea uongozi na kuongoza watu.

Kiongozi haruhusiwi kuwa mjinga.

Kwa sababu yeye kachukua mzigo wa kuongoza watu.
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.
lawama zinatatuliwa kwa kutekana na kuuana , bado hutak na hili tulaumu ? ukishiba unasahau waliolala na njaa ?
 
lawama zinatatuliwa kwa kutekana na kuuana , bado hutak na hili tulaumu ? ukishiba unasahau waliolala na njaa ?
Kenya bado wanatekana na kuuana sawa tu na Afrika kusini
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Hapa sasa ulitakiwa utoe fikra mbadala wa hiyo ya CCM kuondolewa madarakani.
Yawezekana wananchi wawashughulikie viongozi kwa matendo yao badala ya chama.
Lazima suluhu ya maendeleo ipatikane.
Wananchi lazima wafundishwe kuondokana na fikra za kitumwa napotofu za utegemezi (kutegemea viongozi au wageni) kuwaletea maendeleo.
Maendeleo ya wananchi yatafanikiwa tu pale ambapo wataweza kuwadhibiti viongozi na wageni wasipore jasho na raslimali zao.
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.
Noblesse Oblige.

Kiswahili tunasema "Ukubwa gunia la chawa".
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Unaweza kuwa unajua kuandika vitu vingi lkn vikawa pumba mbaya sana,kwa ww furaha yako ni watu kuishi kama vile ni wafu,yaani wakinyimwa haki washangilie,wakitekwa na kuuawa washangilie, maisha yao yakigumishwa washangilie.mleta mada usiwe hopeless kwa kiwango hicho.Mabadiliko yanakuja hata ikiwa kwa nguvu hilo lazima liingie kwenye Akili zako vzr ufahamu hivyo.
 
Swali la msingi unalopaswa kujiuliza kabla huja leta hizi blah blah zako ni kwamba....... ni kwanini mfumo wa vyama vingi ulikubalika na kuanzishwa hapa Tz?

Mfumo wa vyama vingi ni process ya kuharakisha maendeleo bila kujali ni chama gani kinashinda na kuongoza dola as long as uchagua unakua huru na wa haki
 
Swali la msingi unalopaswa kujiuliza kabla huja leta hizi blah blah zako ni kwamba....... ni kwanini mfumo wa vyama vingi ulikubalika na kuanzishwa hapa Tz?

Mfumo wa vyama vingi ni process ya kuharakisha maendeleo bila kujali ni chama gani kinashinda na kuongoza dola as long as uchagua unakua huru na wa haki
Hakuna ukweli wowote kama ni hivyo Kenya, Zambia zingekuwa na maendeleo kuliko China ama Vietnam
 
Unaweza kuwa unajua kuandika vitu vingi lkn vikawa pumba mbaya sana,kwa ww furaha yako ni watu kuishi kama vile ni wafu,yaani wakinyimwa haki washangilie,wakitekwa na kuuawa washangilie, maisha yao yakigumishwa washangilie.mleta mada usiwe hopeless kwa kiwango hicho.Mabadiliko yanakuja hata ikiwa kwa nguvu hilo lazima liingie kwenye Akili zako vzr ufahamu hivyo.
Mabadiliko ya vyama sawa.

Ila Mabadiliko ya maendeleo takiwa futa wazo hilo sisi ni waafrika tuna changamoto zetu
 
Hakuna ukweli wowote kama ni hivyo Kenya, Zambia zingekuwa na maendeleo kuliko China ama Vietnam
Mkuu kwani wapi nimeandika kwamba ili kuendelea ni LAZIMA kuwe na mfumo wa vyama vingi?

Nimekuuliza ni kwanini tunatumia mfumo wa vyama vingi...... mbona hii ni topic ya form two B

Kwasababu mentality kama zako ndio zinafanya mfumo huu uwe wa UONEVU hapa Tanzania kwasababu tumeukubali kuufuata kwa maneno lakini tunaukataa kivitendo
Yaani tunawaona wapinzani ni NJAA inayowasumbua na watawala wana HAKI ya kushiba na kutawala watakavyo

MSINGI wa mfumo huu unasimamiwa na FAIR ELECTION
na sio watawala kuwaona wapinzani waganga njaa
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Kenya ya moi sio hii ya sasa now wameendelea kuanzia kimiundo mbinu hata kiuchumi now makampuni duniani yanakimbizana kwenda kuwekeza kenya ...mabadiliko ya kiuongozi huwa yanasaidia nchi kuendelea kwa haraka zaidi
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Kenya ya moi sio hii ya sasa now wameendelea kuanzia kimiundo mbinu hata kiuchumi now makampuni duniani yanakimbizana kwenda kuwekeza kenya ...mabadiliko ya kiuongozi huwa yanasaidia nchi kuendelea kwa haraka zaidi
 
Mkuu kwani wapi nimeandika kwamba ili kuendelea ni LAZIMA kuwe na mfumo wa vyama vingi?

Nimekuuliza ni kwanini tunatumia mfumo wa vyama vingi...... mbona hii ni topic ya form two B

Kwasababu mentality kama zako ndio zinafanya mfumo huu uwe wa UONEVU hapa Tanzania kwasababu tumeukubali kuufuata kwa maneno lakini tunaukataa kivitendo
Yaani tunawaona wapinzani ni NJAA inayowasumbua na watawala wana HAKI ya kushiba na kutawala watakavyo

MSINGI wa mfumo huu unasimamiwa na FAIR ELECTION
na sio watawala kuwaona wapinzani waganga njaa
Mfumo wa vyama vingi ni process ya kuharakisha maendeleo bila kujali ni chama gani kinashinda na kuongoza dola as long as uchagua unakua huru na wa haki
 
Kenya ya moi sio hii ya sasa now wameendelea kuanzia kimiundo mbinu hata kiuchumi now makampuni duniani yanakimbizana kwenda kuwekeza kenya ...mabadiliko ya kiuongozi huwa yanasaidia nchi kuendelea kwa haraka zaidi
Kenya haijaendelea
 
Watanzania wana ongea ongea sana maneno mengi, lawama nyingi kwa serikali iliyopo madarakani(CCM) Ni jambo zuri kwa sababu ni haki yao na mdomo ni mali yao.

Lakini Watanzania wengi kujifanya kwao sijui wazalendo, wana uchungu sana na nchi ni maigizo tu ya kukosa vipande vya mate katika keki ya taifa.

Watanzania waliopo CCM hawana tofauti na waliopo Chadema,ACT,CUF,TLP.......

Kipi pekee nacho tambua ni kuwa waafrika hasa kusini mwa jangwa la Sahara hatuja pishana sana akili ndio maana haishangazi sisi kuwa masikini sana hapa duniani kwa kila kitu kinaanza wapi ? Kichwani

Na vichwa vyetu ni debe tu hata siku CCM ikitoka madarakani hakutakuwa na maajabu yoyote yale ya kulipeleka taifa mbele zaidi ya siasa za kipuuzi na za kijinga kijinga kuendelea kutawala.

Wananchi wa Tanzania na viongozi hakuna tofauti Mtanzania atasema kiongozi mara mwizi,fisadi,mzembe kila aina ya maneno ya lawama lakini hizi sifa zimejaa kwa Watanzania wengi.

Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Kuna matatizo mengine ni ya kiutamaduni, kielimu, hayo hata CCM ikiondolewa yatabaki tu.

Itakuwa kama tulivyomuondaa mkoloni. Kuna watu walitegemea maendeleo ya haraka kwa sababu tulijitawala wenyewe.

Walati uhalisia ulikuwa tofaiti sana na changamoto nyingine zilizidi.
 
KANU iliondolewa Kenya mwaka 2002 Hata hivyo waliounda serikali mpya walikuwa ni makada waandamazi kutoka KANU.
 
Ukitaka kujua kuwa sisi watu wa kusini mwa jangwa la Sahara ni wahovyo tazama Afrika na muendelezo wake baada ya ANC kupewa nchi na makaburu nini kipya wamefanya zaidi kucheza Amapiano na kuongeza UKIMWI kwa ngono za hovyo hovyo

Haya Kenya wamefanya mabadiliko,Zambia,Malawi hii ni mifano midogo je, hawa wana muelekeo hata wakuwa bora hata kama Singapore na Qatar kwa miaka hata 30 ijayo ?

Watanzania wasije matumaini hewa kanakwamba siku CCM ikifurumushwa basi Tanzania ndio itaendelea kwa kasi jibu ni HAPANA

Siwapendi CCM ila najua tatizo lililopo ni zaidi ya CCM wenda nikilisema nitatafsirika kama mbaguzi.

Lakini tatizo ni zaidi ya CCM na ndio maana hata ukienda Kenya au Zambia au Malawi au Burundi au Rwanda au Afrika Kusini tuna banana kwa mengi.
Nchi kama Zambia au Malawi haziwezi kuwa kama Qatar au Singapore kwa sababu nyingi sana, ila Tanzania inawezekana.
Burundi imekuwa nchi ya vita
Japo ANC ni tatizo Africa Kusini lakini kama nchi ina miaka 30 tu tangu kumalizika kwa ubaguzi wa rangi ulioacha legacy mbaya sana na itakayohitaji muda mrefu zaidi kuirekebisha.
 
Back
Top Bottom