Watanzania wavunja rekodi ya uzalendo Afrika: Utafiti umeonyesha

hata mie naipenda sana nchi yangu ya TZ lakini watu wake loh hata hatupendani hata kidogo
 

Sikumaanisha watu wajivue utaifa wao kwa sababu ya umaskini tulionao,la hasha! Nilikuwa natoa mwito wa imani bila matendo haina tija! uungwana ni vitendo si porojo. Kama tunaipenda Tanzania basi tufanye juhudi za pamoja kutatua matatizo yetu ili hata ukijitambulisha mahali kuwa naipenda tanzania basi matendo yetu yadhihirike na MATUNDA YA MATENDO YETU YANAONEKANA!
 
Watanzania wazalendo? Mmmhh! Can someone please eleborate?

Kuipenda nchi kwa maneno tu! Blah blah nyiiingi, vitendo vya kizalendo sifuri.
 
Asilimia kubwa ya Watanzania wana Uzalendo wa Kinafiki na Kifisadi, sidhani wengi wana uzalendo wa kweli ambapo wanaweza kujitoa mhanga kutetea na kulinda maslahi ya nchi na rasilimali zake. Uzalendo wa Watanzania wengi si uzalendo wa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…