Watanzania wengi bado wanakiamini chama cha Mapinduzi CCM. Wanaamini kuwa CCM ndio chama pekee chenye uwezo wa kusimamia amani na utulivu wa nchi yetu. Hakuna chama chochote cha upinzani chenye uwezo huo.
Nami naungana na watanzania wenzangu kukipa kura chama imara ccm, kesho tarehe 27/11/ 2024 mapema asubuhi naenda kumpigia kura mgonbea wa CCM ili tuweze kujihakikishia maendeleo kwenye mitaa yetu.
nakumbuka nikiwa darasa la kwanza wakati naanza kujifunza kuandika niliandika mlangoni mwa geto langu chagua "sisiemu".
Nami naungana na watanzania wenzangu kukipa kura chama imara ccm, kesho tarehe 27/11/ 2024 mapema asubuhi naenda kumpigia kura mgonbea wa CCM ili tuweze kujihakikishia maendeleo kwenye mitaa yetu.
nakumbuka nikiwa darasa la kwanza wakati naanza kujifunza kuandika niliandika mlangoni mwa geto langu chagua "sisiemu".