This goes without say. Hata humu ndani ya jumuiya yetu ya jamii forum utagundua udhahifu mkubwa sana kwenye suala la namna tunavyojenga hoja, au kujibu hoja, au kutetea hoja. Suala la kujiuliza ni zipi sababu za udhaifu wetu huu mkubwa? je ni elimu yetu mbovu? je ni jinsi tulivyokuwa groomed? je ni social cultural issues zetu? je ni madhara ya uswahili wetu? au ni sula la IQ ndogo?. Tena utakuta baadhi ya wasomi wetu nguli humu ndani ndio wanaongoza kwa udhaifu huu.
Ebu msome waziri wa nchi ofisi ya Rais , Mipango na uwekezaji Professor Mkumbo akimake a case, akijibu hoja ya kuhusu taarifa iliyotolewa na Sauti ya America kuhusu mkopo uliosainiwa juzijuzi huko Korea , jamaa walitangaza ni mkopo wa miaka 40 kati ya Tanzania na Korea na kwamba mkopo umetoa masharti dhaifu ya kuiachia Korea kuchimba madini baharini.
Sasa anayejibu anatakiwa; Kwanza kusema je ni kweli mkataba umesainiwa? je ni wa miaka mingapi? je ni kweli wameachiwa kiurahisi tu kuchimba (kuchota) madini baharini, je hiyo ni sehemu ya colateral ya mkataba? kama sio ni kitu gani kuhusu madini kilisainiwa?. Angalau atoe high level update kuondoa sintofahamu hii kwani tunajua mikataba hii huwa ya siri kubwa sana.
"Huo ni Urongo! kuhusu madini ya Kimkakati (strategic mineral resources) Mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakao wekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ya maliasili hiyo kwa kujenga viwanda na kuexport end producst (betries etc)". Hayo ndiyo yalikuwa majibu ya professor, hakika hivyo ndivyo mtaalamu wetu, kiongozi wa sekta husika alivyojenga hoja (make a case) pinzani, kupinga tuhuma nzito na za kutia hofu toka Sauti ya America.
Politically ni bora husijibu kama huna majibu yanayojitosheleza kwani majibu yako dhaifu yatatengeneza maswali zaidi na kujenga hofu hasa linapokuja suala la current increasing trend, au observed epidermic au pandemic ya uuzwaji wa maliasili za nchi kwa wageni bila wenye nchi , wenye mali kujua details zake.
Swali la msingi la mada hii ni je? huyu professor wetu ameweza kujenga hoja? ameweza kuivunja hoja pinzani? ameweza kukosha mioyo ya Watanzania walio na shahuku kusikia kauli sahihi ya Serikali yao pendwa? Je alitakiwa kujibu nini kuhusu miaka ya mkataba? je kuruhusiwa kuchimba madini ni sehemu ya collateral binding of the signed contract? sawa labda wameruhusiwa je? watafungua viwanda humuhumu kama Country Strategic Mineral Resources development plan inavyosema?
Kikubwa kwenye kizungumkuti kama hiki ni kuhusu hoja ya mkataba uliosahiniwa umewaruhusu wakorea kuchimba madini au hapana? to the contrary, Mheshimiwa katoa jibu la kuelezea the current Country strategic mineral resources development plan, kweli kwani hilo ndilo lilikuwa swali? Basi OK umetaka strategically kuficha specific content kama professor basi tulitegemea ungesema suala si kuruhusiwa kwani our strategic mineral resources development plan iko wazi kwa wawekezaji ila angesema wameweza kutimiza masharti husika kwamba hawa wenzetu sio tu wamekidhi vigezo bali wamefuata masharit yote , kufanya utafiti, uchimbaji na kukubali kuanzisha viwanda vya kuzalisha end product ili kuuza nchi za nje kwa manufaa makubwa ya nchi.
Hakika tunasafari ndefu kama haya ndiyo majibu ya professor wetu na yeye alikuwepo na kausoma mkataba mwezi au miezi kabla ya kusahiniwa na na aliweza kutoa ushauri process iendelee, je unategemea sisi wengine kajamba nani uwezo wetu utakuwaje kwenye kujenga hoja?
Ebu msome waziri wa nchi ofisi ya Rais , Mipango na uwekezaji Professor Mkumbo akimake a case, akijibu hoja ya kuhusu taarifa iliyotolewa na Sauti ya America kuhusu mkopo uliosainiwa juzijuzi huko Korea , jamaa walitangaza ni mkopo wa miaka 40 kati ya Tanzania na Korea na kwamba mkopo umetoa masharti dhaifu ya kuiachia Korea kuchimba madini baharini.
Sasa anayejibu anatakiwa; Kwanza kusema je ni kweli mkataba umesainiwa? je ni wa miaka mingapi? je ni kweli wameachiwa kiurahisi tu kuchimba (kuchota) madini baharini, je hiyo ni sehemu ya colateral ya mkataba? kama sio ni kitu gani kuhusu madini kilisainiwa?. Angalau atoe high level update kuondoa sintofahamu hii kwani tunajua mikataba hii huwa ya siri kubwa sana.
"Huo ni Urongo! kuhusu madini ya Kimkakati (strategic mineral resources) Mkakati wa Tanzania ni kutafuta wawekezaji watakao wekeza katika utafiti, uchimbaji na kuongeza thamani ya maliasili hiyo kwa kujenga viwanda na kuexport end producst (betries etc)". Hayo ndiyo yalikuwa majibu ya professor, hakika hivyo ndivyo mtaalamu wetu, kiongozi wa sekta husika alivyojenga hoja (make a case) pinzani, kupinga tuhuma nzito na za kutia hofu toka Sauti ya America.
Politically ni bora husijibu kama huna majibu yanayojitosheleza kwani majibu yako dhaifu yatatengeneza maswali zaidi na kujenga hofu hasa linapokuja suala la current increasing trend, au observed epidermic au pandemic ya uuzwaji wa maliasili za nchi kwa wageni bila wenye nchi , wenye mali kujua details zake.
Swali la msingi la mada hii ni je? huyu professor wetu ameweza kujenga hoja? ameweza kuivunja hoja pinzani? ameweza kukosha mioyo ya Watanzania walio na shahuku kusikia kauli sahihi ya Serikali yao pendwa? Je alitakiwa kujibu nini kuhusu miaka ya mkataba? je kuruhusiwa kuchimba madini ni sehemu ya collateral binding of the signed contract? sawa labda wameruhusiwa je? watafungua viwanda humuhumu kama Country Strategic Mineral Resources development plan inavyosema?
Kikubwa kwenye kizungumkuti kama hiki ni kuhusu hoja ya mkataba uliosahiniwa umewaruhusu wakorea kuchimba madini au hapana? to the contrary, Mheshimiwa katoa jibu la kuelezea the current Country strategic mineral resources development plan, kweli kwani hilo ndilo lilikuwa swali? Basi OK umetaka strategically kuficha specific content kama professor basi tulitegemea ungesema suala si kuruhusiwa kwani our strategic mineral resources development plan iko wazi kwa wawekezaji ila angesema wameweza kutimiza masharti husika kwamba hawa wenzetu sio tu wamekidhi vigezo bali wamefuata masharit yote , kufanya utafiti, uchimbaji na kukubali kuanzisha viwanda vya kuzalisha end product ili kuuza nchi za nje kwa manufaa makubwa ya nchi.
Hakika tunasafari ndefu kama haya ndiyo majibu ya professor wetu na yeye alikuwepo na kausoma mkataba mwezi au miezi kabla ya kusahiniwa na na aliweza kutoa ushauri process iendelee, je unategemea sisi wengine kajamba nani uwezo wetu utakuwaje kwenye kujenga hoja?