Inashangaza sana
Mfanyabiashara Mkinga ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Njombe mjini lakini kijijini Makete kijumba
Mhandisi Msukuma ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Mwanza mjini lakini kijijini Gamboshi kijumba
Profesa Mhaya ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Bukoba mjini lakini kijijini Biharamulo kijumba
Mwanasheria Mnyakyusa ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Mbeya mjini lakini kijijini Mwakaleli kijumba
Kisingizo ni kwamba nyumba za kisasa zinaharibu mazingira ya nyumba za nyasi za asili, huwa nabaki na maswali mengi sana.
Wengine wanaogopa kujenga kwasababu ya uchawi, Kwamba nyumba zote ni za nyasi yeye akijenga ya kisasa anakuwa Target, Mscheke jamani haya mambo yapo
Mfanyabiashara Mkinga ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Njombe mjini lakini kijijini Makete kijumba
Mhandisi Msukuma ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Mwanza mjini lakini kijijini Gamboshi kijumba
Profesa Mhaya ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Bukoba mjini lakini kijijini Biharamulo kijumba
Mwanasheria Mnyakyusa ana nyumba nzuri Dsm, nyingine Mbeya mjini lakini kijijini Mwakaleli kijumba
Kisingizo ni kwamba nyumba za kisasa zinaharibu mazingira ya nyumba za nyasi za asili, huwa nabaki na maswali mengi sana.
Wengine wanaogopa kujenga kwasababu ya uchawi, Kwamba nyumba zote ni za nyasi yeye akijenga ya kisasa anakuwa Target, Mscheke jamani haya mambo yapo