Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
π³π³π³π³π³π³π³π³π³Daaah, mimi mtandao wenyewe ndiyo nauona leo hivyo hakuna hata mmoja nimjuaye.
hapo hakuna lengo mkuu huu ni uzi wa kuwajua watumiaji wa huo mtandao.Funguka lengo lako ukishajua halafu inakuwaje?
Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Ngoyai Edu.Habari za Leo wakuu,
Linapokuja swala mitandao, watanzania hawapo nyuma kwenye kutumia mtandao wa professionals wa LinkedIn.
Naomba tujuzane watanzania wenye strong profiles kwenye mtandao wa LinkedIn.
π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³π³Ungefunguka kidogo kuwa huo mtandao upoje unahusu nini na kuna faida gani ya kuwa huko ili ututoe matongo sisi tunaojua fb, twita na jf pekee
Share profile yake tuione na ana connection kiasi ganiNgoyai Edu.
Share profile yake please.Kelvin Jackson Twisa
hapo hakuna lengo mkuu huu ni uzi wa kuwajua watumiaji wa huo mtandao.