Nasikitika sana kweli ndomaana yesu na uruma yake yote sisi wanadamu tuka mtundika msalabani na mimi si mtanifanya hivyo kuomba kwamba msaada si kwapesa kukuonyesha kwamba na weza sio natania please nawaomba sisi ni watu ambao technlogy ipo nyuma kwahiyo nataka tuunde chama mbacho kina wadau wa technologia na kusaidiana ni mimi EDSON KENNEDY >CHIZICOMPUTER
Nasikitika sana kweli ndomaana yesu na uruma yake yote sisi wanadamu tuka mtundika msalabani na mimi si mtanifanya hivyo kuomba kwamba msaada si kwapesa kukuonyesha kwamba na weza sio natania please nawaomba sisi ni watu ambao technlogy ipo nyuma kwahiyo nataka tuunde chama mbacho kina wadau wa technologia na kusaidiana ni mimi EDSON KENNEDY >CHIZICOMPUTER
mkuu nabii hakosi heshima ila kwa watu wa nyumbani kwake so ucjali kufanya kile unachokijua kwani huku jamvini wanasoma utashangaa utaeshimiwa na watu wa nje ya tanzania
gud idea. but weka mapendekezo yako ya katiba.
dr.4ne hapo umesema maana kama mshikaji atapondwa na watu kumi ila akaheshimiwa na watu mia moja bado anafaida kubwa tu. so asikonde tupo pamoko katika gemu.
ndomanake namwambia acfe moyo