Watanzania wenzangu tuachane na dini za kigeni tugeukie mizimu na matambiko yetu

Watanzania wenzangu tuachane na dini za kigeni tugeukie mizimu na matambiko yetu

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Watanzania wenzangu naomba mniunge mkono tuachane na hizi dini za kuletewa na meli ndege na majahazi!

Kama miaka mia iliyopita walitufundisha kuoa mwanamke mmoja tu tena hakuna kuachana mpaka kifo kitutenganishe tuliwaelewa japo kishingo upande tukauweka pembeni urijali wetu wa kuoa wanawake kumi na kuwa na kaempire kako leo hii wanatuambia tuoane wenyewe sisi wanaume pumbaaav!

Yaaani kutoka wanawake kumi hadi mmoja na mwishowe kuolewa wewe Sasa hizi dini c ni Bora tugeukie mizimu yetu?

Kama unaungana namimi weka comment na like! Say no to new religions brought from afar by our colonisers!
 
Watanzania wenzangu naomba mniunge mkono tuachane na hizi dini za kuletewa na meli ndege na majahazi!

Kama miaka mia iliyopita walitufundisha kuoa mwanamke mmoja tu tena hakuna kuachana mpaka kifo kitutenganishe tuliwaelewa japo kishingo upande tukauweka pembeni urijali wetu wa kuoa wanawake kumi na kuwa na kaempire kako leo hii wanatuambia tuoane wenyewe sisi wanaume pumbaaav!

Yaaani kutoka wanawake kumi hadi mmoja na mwishowe kuolewa wewe Sasa hizi dini c ni Bora tugeukie mizimu yetu?

Kama unaungana namimi weka comment na like! Say no to new religions brought from afar by our colonisers!
Nilitegemea ungekuja na sababu za msingi kusapoti uzi wako. Umechanganya kati ya dini na tabia za watu/ watu.
Ni ukurasa gani ndani ya Biblia na Quran imesapoti mahusiano ya jinsia moja?
 
Watanzania wenzangu naomba mniunge mkono tuachane na hizi dini za kuletewa na meli ndege na majahazi!

Kama miaka mia iliyopita walitufundisha kuoa mwanamke mmoja tu tena hakuna kuachana mpaka kifo kitutenganishe tuliwaelewa japo kishingo upande tukauweka pembeni urijali wetu wa kuoa wanawake kumi na kuwa na kaempire kako leo hii wanatuambia tuoane wenyewe sisi wanaume pumbaaav!

Yaaani kutoka wanawake kumi hadi mmoja na mwishowe kuolewa wewe Sasa hizi dini c ni Bora tugeukie mizimu yetu?

Kama unaungana namimi weka comment na like! Say no to new religions brought from afar by our colonisers!
Mkuu nimecheka kwa nguvu sana, ila Roman Catholic na Waislam wamekwisha toa misimamo yao kuhusu ushoga na mambo yake.

Siyo kwamba nimeathiriwa na western civilization ila rituals za imani za mababu zetu zilikua na changamoto kidogo, walishindwa kuandika mtiririko wa ibada na kila jamii ilikua na utaratibu tofauti.

So, wa document hizo rituals na ku harmonize
 
Dini sio chanzo cha ushoga...ushoga anafanya hata mpagani
 
So ni mitala tu ndo imekuvutia huko!

Me nitaenda patakaponipa kweli kuhusu maisha/ulimwengu, which is nowhere at the moment...
 
20230331_070708.jpg
 
Mimi nipo pamoja na mleta nada, huko kwenye dini za kigeni nilishatoka zamaaaaaniii
 
Watanzania wenzangu naomba mniunge mkono tuachane na hizi dini za kuletewa na meli ndege na majahazi!

Kama miaka mia iliyopita walitufundisha kuoa mwanamke mmoja tu tena hakuna kuachana mpaka kifo kitutenganishe tuliwaelewa japo kishingo upande tukauweka pembeni urijali wetu wa kuoa wanawake kumi na kuwa na kaempire kako leo hii wanatuambia tuoane wenyewe sisi wanaume pumbaaav!

Yaaani kutoka wanawake kumi hadi mmoja na mwishowe kuolewa wewe Sasa hizi dini c ni Bora tugeukie mizimu yetu?

Kama unaungana namimi weka comment na like! Say no to new religions brought from afar by our colonisers!
Tuachane pia na chochote cha kimagharibi kama technology nk? Dini ya kikristo haimwambii mtu awe shoga tena inapinga mambo hayo kabisa kwani hayajaanza leo.
 
Back
Top Bottom