Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MajeruhiKinana simuoni kwenye picha yuko wapi?
Majengo rasmi ya chama yapo, lakini wao kazi ni kung'ang'ania mali za umma tu. Ili kulinda ndumba zinazohamishiwa hapo ni lazima tutaanza kusikia mfululizo wa vifo na kuanza kukatwa kwa viungo vya ndugu zetu wenye ualbino.Hakuna ubishi wametumia vyema kodi za watanzania kujenga jengo hili. Hakuna ubishi
View attachment 2630570