singidadodoma
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,394
- 1,536
Wakati tukielekea katika kura ya maoni inayotarajiwa kufanyika katikati ya mwaka huu kwa mujibu wa tume ya taifa ya uchaguzi. Napenda kuwaasa watanzania wenzangu usikubali kurubuniwa na kulishwa hadaa na chuki dhidi ya katiba pendekezwa.
Kumekuwepo viashiria mbalimbali za watu wenye nia ovu ya kutaka kutugawa watanzania pamoja na kutuvuruga kwa kutumia kura ya maoni, tumeona wameanza kutoa matamko na kauli za kutisha ustawi wa taifa letu wakiwamo wanasiasa wanaotaka kurudi bungeni kwa njia yeyote ile pamoja na viongozi dini.
Watanzania wenzangu tusikubali kurubuniwa na kulazimishwa kwa namna yeyote ile hata kama na viongozi wetu wa dini amabo tumekuwa tukiwaheshimu mno, tusitoe nafasi kwa wahadhifina kuteka huu mchakao kwani watatuladhimisha tufike watakapo wao na si matakwa yetu.
Hatua mbili muhimu zimeshapita ya kwanza ilikuwa ya ukusanyaji wa maoni ambapo tume ilifanya kazi yake bila kuingiliwa na hatua ya pili ni ile ya bunge maalum la katiba amabalo lilikaa na kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria na bunge hilo amabalo lilikusanya watu kutoka kada mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini wanaotoa matamko ya leo kila kukicha.
Jambo la kufurahisha wale waliokuwa wakiikosoa tume ya Warioba ndio hao hao walikuja kuikubali na kuipigia chapuo, na huku wale waliokuja wakiifurahia walikuja kuwa maadui wa tume hiyo, leo hii wanakuja kwetu kutulaghai tuikate katiba pendekezwa kwa kuwa maoni yaliyokuwa katika rasimu ya Walioba wamenyofolewa.
Swali la msingi kwa hawa wahadhifina, ikiwa hawakutaka rasimu ya Warioba ipunguzwe au kuongezwa jambo, kwanini walikubali kuwepo kwa bunge la katiba baada ya Warioba kumaliza klazi yake? Si wangetuletea moja kwamoja wananchi tukaipigia kura?
Watanzania wenzangu tuwapuuze hawa wasioitakia mema nchi yetu, tuisome katiba pendekezwa na kuielewa kisha tuchukue hatu ya kuwashangaza ili waache siasa zao za uhanaharakati.
Watanzania tusiwakubali wanaotishia uhai wa ustawi wa amani ya nchi yetu, watanzania tuna utaratibu wa kujadilana kwa amani na tusikubali kushawishiwa kwa naman yeyote ile jambl lolote baya likitokea waathirika ni sisi hao wanaotushawaishi watakuwa wakwanza kupanda ndege na kukimbia nchi.
Kumekuwepo viashiria mbalimbali za watu wenye nia ovu ya kutaka kutugawa watanzania pamoja na kutuvuruga kwa kutumia kura ya maoni, tumeona wameanza kutoa matamko na kauli za kutisha ustawi wa taifa letu wakiwamo wanasiasa wanaotaka kurudi bungeni kwa njia yeyote ile pamoja na viongozi dini.
Watanzania wenzangu tusikubali kurubuniwa na kulazimishwa kwa namna yeyote ile hata kama na viongozi wetu wa dini amabo tumekuwa tukiwaheshimu mno, tusitoe nafasi kwa wahadhifina kuteka huu mchakao kwani watatuladhimisha tufike watakapo wao na si matakwa yetu.
Hatua mbili muhimu zimeshapita ya kwanza ilikuwa ya ukusanyaji wa maoni ambapo tume ilifanya kazi yake bila kuingiliwa na hatua ya pili ni ile ya bunge maalum la katiba amabalo lilikaa na kufanya kazi yake kwa mujibu wa sheria na bunge hilo amabalo lilikusanya watu kutoka kada mbalimbali wakiwemo viongozi wa dini wanaotoa matamko ya leo kila kukicha.
Jambo la kufurahisha wale waliokuwa wakiikosoa tume ya Warioba ndio hao hao walikuja kuikubali na kuipigia chapuo, na huku wale waliokuja wakiifurahia walikuja kuwa maadui wa tume hiyo, leo hii wanakuja kwetu kutulaghai tuikate katiba pendekezwa kwa kuwa maoni yaliyokuwa katika rasimu ya Walioba wamenyofolewa.
Swali la msingi kwa hawa wahadhifina, ikiwa hawakutaka rasimu ya Warioba ipunguzwe au kuongezwa jambo, kwanini walikubali kuwepo kwa bunge la katiba baada ya Warioba kumaliza klazi yake? Si wangetuletea moja kwamoja wananchi tukaipigia kura?
Watanzania wenzangu tuwapuuze hawa wasioitakia mema nchi yetu, tuisome katiba pendekezwa na kuielewa kisha tuchukue hatu ya kuwashangaza ili waache siasa zao za uhanaharakati.
Watanzania tusiwakubali wanaotishia uhai wa ustawi wa amani ya nchi yetu, watanzania tuna utaratibu wa kujadilana kwa amani na tusikubali kushawishiwa kwa naman yeyote ile jambl lolote baya likitokea waathirika ni sisi hao wanaotushawaishi watakuwa wakwanza kupanda ndege na kukimbia nchi.