matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wwnakufata hadi usoni mara mbilimbili wakikushawishi ununue icecream, akiondoka anaibuka mwingine, na kila mmoja anavionjo vyake tofauti vya sales skills.Dah kweli mkuu, jamaa wanachakalika aisee..
Nilipita sokoni juzi kati jamaa anasema hata ukwaju sasa sokoni unapungua watu wanapelekea huko huko. Itafika kipindi kama wakiendelea kukomaa ukwaju utakuwa unapatikana kwa njia ya hizo icecream tu.Yaani hata mie nikiwaona nawaza mengi. Unakuta mtu kavaa kale kabegi amekaweka kwa mbele kifuani, wanatembea juani. Halafu mkaka kama huyo umwambie atume na ya kutolea, unapata dhambi!
Ukimwambia afungue yake aanze kuuza anaamka saa nne asubuhi, ila ukimrudisha kwa Bakhresa saa kumi yuko macho.Wengi wao ni graduate wa udsm.
ILa unaweza kuniambia kwa diamykaramga zimeishia wapi?
Mikoani watoke wapi!Hivi hao jamaa mikoani wapo kweli au ni dar peke yake?
Wale ulaya wanakatwa makato serikalini, mfano Bima etc.Ni kweli kabisa mkuu wako vizuri watanzania wote tunge fanya juhudi zile lazima tufikie mafanikio. Kijana acha uvivu chapa kaz usibague kazi wewe humbi kazi, na wala kazi haiumbwi pambana kila kukicha.
Yaani hata mie nikiwaona nawaza mengi. Unakuta mtu kavaa kale kabegi amekaweka kwa mbele kifuani, wanatembea juani. Halafu mkaka kama huyo umwambie atume na ya kutolea, unapata dhambi!!!
Mkoani tayari wamefikaMikoani watoke wapi!
Tuwe na huruma wasiweke ya kutolea. Yaani wanazunguka juani, kwenye mataa ya kuongozea magari, na sehemu zingine halafu jua kali kweli[emoji3][emoji3]sasa tutatoaje jamani
Wengi wao ni graduate wa udsm.
ILa unaweza kuniambia kwa diamond karanga zimeishia wapi?