Watanzania

bothlegs

Senior Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
122
Reaction score
48
Mtia nia mmoja baada ya kushindwa kupita kataika kura za maoni ya kugombea ubunge,alisikika akilalamika kwa kusema. ''Wale sio wajumbe wale ni WATANZA NIA.Yaani pamoja na kuniahidi kwamba watanipa kura za kutosha ili niteuliwe kuwa mgombea,nia yangu wameitanza na kupoteza matumani ya kuwa mbunge''.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…