Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawaJeshi la polisi mkoani Tabora linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kukutwa na sare za jeshi la wananchi na Jeshi la Polisi ambazo walikuwa wakizitumia kuwatapeli wananchi.
Updates zitakujia hapa hapa
Jina linatolewa potiSare si zina jina la askari, au hizo ni feki?
Duh basi hao ni wahalifu waliojipanga kufanya maovu kabisa kwa mgongo wa jeshi.Jina linatolewa poti
Hawa wamewaonea tu , sasa mbona Kama hizo zingine hazifani kabisa😊 utafikiri zile wanazoigizia wakina bambo Ze Comedy!!Hahahaha sura zinachekesha View attachment 864158
Hawa wapo serious au ni commedians fulani wasiojitambua?Hahahaha sura zinachekesha View attachment 864158
Yaani huyo jamaa hajui hiyo kitambaa huambatana herufi mbili MPHahahaha sura zinachekesha View attachment 864158
Vaa na ww wakudakeHawa wamewaonea tu , sasa mbona Kama hizo zingine hazifani kabisa[emoji4] utafikiri zile wanazoigizia wakina bambo Ze Comedy!!
Polisi au Jeshi ni Ile Kofia tu hayo magwanda ni nguo tu.
Muone Manjimwenye sare za jwtz ani pm tufanye biashara
Wawili wamevaa uniform,ila huyu mmoja ni CID feki.Bila shaka ni mshiriki wa kosa tu.Hahahaha sura zinachekesha View attachment 864158
Kuna waziri anaitwa Charles Makongoro?!!!Umemaliza,huyo Charles ni Waziri?