Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Kipindi hiki cha December kuelekea January, ni kipindi cha msimu wa maembe, matunda ambayo msimu wake huambatana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu.
Hata hivyo, kwa miaka karibu mitatu sasa , sijasikia habari ya mlipuko wa kipindupindu katika maeneo yoyote ya nchi yetu kama ilivyokuwa imezoeleka hasa katika kipindi hiki(kama taarifa hizo zipo, basi mnijuze).
Maswali:
Watanzania tumepiga hatua katika swala zima la usafi na hivyo kudhibiti mlipuko wa kipindupindu?
Au kuna uhusiano baina ya ujio wa Covid na kutokomea kwa kipindupindu? Utafiti unahitajika?
Au ugonjwa upo ila taarifa hazitoki?
Hongereni watanzania.
Mods naomba heading isomeke watanzania na sio watawala
Hata hivyo, kwa miaka karibu mitatu sasa , sijasikia habari ya mlipuko wa kipindupindu katika maeneo yoyote ya nchi yetu kama ilivyokuwa imezoeleka hasa katika kipindi hiki(kama taarifa hizo zipo, basi mnijuze).
Maswali:
Watanzania tumepiga hatua katika swala zima la usafi na hivyo kudhibiti mlipuko wa kipindupindu?
Au kuna uhusiano baina ya ujio wa Covid na kutokomea kwa kipindupindu? Utafiti unahitajika?
Au ugonjwa upo ila taarifa hazitoki?
Hongereni watanzania.
Mods naomba heading isomeke watanzania na sio watawala