Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 445
Rais wa kenya ameshiriki kwenye ibada ya kitaifa ya kuliombea amani taifa hilo siku ya leo!
Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU'
Ifike mahali watawala wetu wajifunze.
Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU'
Ifike mahali watawala wetu wajifunze.