P Prince Hope JF-Expert Member Joined Jul 21, 2012 Posts 2,155 Reaction score 445 Jun 20, 2013 #1 Rais wa kenya ameshiriki kwenye ibada ya kitaifa ya kuliombea amani taifa hilo siku ya leo! Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU' Ifike mahali watawala wetu wajifunze.
Rais wa kenya ameshiriki kwenye ibada ya kitaifa ya kuliombea amani taifa hilo siku ya leo! Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU' Ifike mahali watawala wetu wajifunze.
Utingo JF-Expert Member Joined Dec 15, 2009 Posts 10,266 Reaction score 8,085 Jun 20, 2013 #2 Prince Hope said: Rais wa kenya ameshiriki kwenye ibada ya kitaifa ya kuliombea amani taifa hilo siku ya leo! Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU' Ifike mahali watawala wetu wajifunze. Click to expand... Tunao? wako wapi? ni akina nani?
Prince Hope said: Rais wa kenya ameshiriki kwenye ibada ya kitaifa ya kuliombea amani taifa hilo siku ya leo! Wakati hayo yanafanyika kwao, hapa tz Waziri mkuu anatoa agizo la kuvunja amani kwa kuruhusu polisi 'KUPIGA TU' Ifike mahali watawala wetu wajifunze. Click to expand... Tunao? wako wapi? ni akina nani?
Kabaridi JF-Expert Member Joined Nov 15, 2011 Posts 2,022 Reaction score 534 Jun 21, 2013 #3 hakuna taifa lisimamalo bila kumweka maulana kwenye msingi. amini mungu tu
mossad007 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2012 Posts 1,165 Reaction score 852 Jul 6, 2013 #4 Usisahau kusema rais huyo huyo ana kesi ya jinai dhidi ya mauaji ya raia wake.. Usiweke mambo nusu nusu
Usisahau kusema rais huyo huyo ana kesi ya jinai dhidi ya mauaji ya raia wake.. Usiweke mambo nusu nusu