Hapa tujifunze kwa kuona namna wenzetu walivyopiga hatua kubwa katika suala zima la miundombinu
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko sawa lakini inahitaji pesa nyingi kujenga na umeme mwingi kutumika.Hapa tujifunze kwa kuona namna wenzetu walivyopiga hatua kubwa katika suala zima la miundombinu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau miundo mbinu. Gautrain ina viaduct ya 10km na yenu ina viaduct ya 1 km hapo Dar station. Station zao ni kali kushinda zenu. Train zao ni kali sana ila zenu bado hatujui kama zitakua poa au zitakua mikebe ya gongo.Miundombinu yake haitatofautiana sana na SGR ya Tanzania kwa design philosophy i. e., simplicity ( keep it simple stupid), electrification na max speed ya zote mbili ni 160 km/hr. Lakini tofauti kubwa ipo ktk functionalities, kwanza Gautrain haibebi mizigo ni ya abiria hivyo axle load yake ni ndogo. Pili Gautrain ni inter city train sio long distance train kama SGR ya Tanzania, urefu wa Gautrain rail kutoka kituo cha mwanzo hadi kituo cha mwisho hauzidi km 100, wakati SGR ya Tanzania tunazungumzia km 1200 na ushee. Tatu EMU za Gautrain hubeba passenger coaches 4 au 6 pekee wakati SGR ya Tanzania zitakuwa na coaches 8.
My 5 cents.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewaka sana kaka,miundombinu ndio point yangu hasa,wala sijataka comparison, kama umeona infra kwa ujumla reli,barabara na mambo mengine Ni uwezo wako tu wakudigest tu ulichoonaMiundombinu yake haitatofautiana sana na SGR ya Tanzania kwa design philosophy i. e., simplicity ( keep it simple stupid), electrification na max speed ya zote mbili ni 160 km/hr. Lakini tofauti kubwa ipo ktk functionalities, kwanza Gautrain haibebi mizigo ni ya abiria hivyo axle load yake ni ndogo. Pili Gautrain ni inter city train sio long distance train kama SGR ya Tanzania, urefu wa Gautrain rail kutoka kituo cha mwanzo hadi kituo cha mwisho hauzidi km 100, wakati SGR ya Tanzania tunazungumzia km 1200 na ushee. Tatu EMU za Gautrain hubeba passenger coaches 4 au 6 pekee wakati SGR ya Tanzania zitakuwa na coaches 8.
My 5 cents.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kupanda treni ni sh ngap haha jamaa unajishtukia sanaWaaafrika wanaonyeshwa hapo ni petty workers,
Wasafiri wote ni wazungu tupu,
Hiii ni ufala ya hali ya juu,
Ubaguzi wa rangi
Ofcos majority wanaotumia ni black southerners
Sijasahau miundombinu nimeshazungumzia tayari vitu kama the total rail track length, electrification etc. By the way viaduct ya Dar tokes pale station ni over 2.5 km. Gautrain ina viaduct nyingi na ndefu kwasababu inapitia mijini (inter city train). Design ya station zote za Gautrain ni very simple with very limited space inside the stations, ndani ya station zoo hakuna sehemu za kukaa wala sehemu za migahawa au restaurants. Kitu kizuri walichofanya ni parking lots zoo ni kubwa na kutosha. The only distinct advantage kwa Gautrain ni bus service to/from the train stations for its passengers (at a small fee).Umesahau miundo mbinu. Gautrain ina viaduct ya 10km na yenu ina viaduct ya 1 km hapo Dar station. Station zao ni kali kushinda zenu. Train zao ni kali sana ila zenu bado hatujui kama zitakua poa au zitakua mikebe ya gongo.
Unasema station zao ni simple. Wewe ni kichaa, umeona station zenu kwenye hio video ya Yapi Merkezi ya November uone jinsi station zenu ni mbovu? Sio kwa ubaya ila huwezi linganisha station za Gautrain na zenu. Hata kwa ukubwa station za Gautrain ni kubwa kushinda zenu. Infact station za Sgr ya Kenya ni kubwa na rembo kushinda zenu. Halafu kwenye train, usiongee vibaya kuhusu train yao eti ni simple ama haina sehemu za kulala ilhali nyie hamjui zenu zitafanana vipi. Nakuhakikishia zenu pia hazitakuwa na mahali pa kulala na zitakuwa na muonekano mbaya kushinda hizi.Sijasahau miundombinu nimeshazungumzia tayari vitu kama the total rail track length, electrification etc. By the way viaduct ya Dar tokes pale station ni over 2.5 km. Gautrain ina viaduct nyingi na ndefu kwasababu inapitia mijini (inter city train). Design ya station zote za Gautrain ni very simple with very limited space inside the stations, ndani ya station zoo hakuna sehemu za kukaa wala sehemu za migahawa au restaurants. Kitu kizuri walichofanya ni parking lots zoo ni kubwa na kutosha. The only distinct advantage kwa Gautrain ni bus service to/from the train stations for its passengers (at a small fee).
Kuhusu ukali wa trains, EMU za Gautrain ni za kawaida sana, kwanza hazina nafasi ya kutosha mle ndani na kama una mizigo/mabegi mengi to/from airport ni sida maana sehemu ya kuweka mizigo ni finyu sana. Pia Gautrain hazina sehemu ya chakula/buffet, also hazina mabehewa ya kulala na wala hazine different configuration ya classes etc. Hii yote ni kwakua Gautrain ni intercity train na sio long distance train kama SGR inayojengwa Tanzania.
Acha kubisha bila uhakika ili mradi tu ili nawewe uonekane umechangia, I am trying to explain to you from the first hand experience.Unasema station zao ni simple. Wewe ni kichaa, umeona station zenu kwenye hio video ya Yapi Merkezi ya November uone jinsi station zenu ni mbovu? Sio kwa ubaya ila huwezi linganisha station za Gautrain na zenu. Hata kwa ukubwa station za Gautrain ni kubwa kushinda zenu. Infact station za Sgr ya Kenya ni kubwa na rembo kushinda zenu. Halafu kwenye train, usiongee vibaya kuhusu train yao eti ni simple ama haina sehemu za kulala ilhali nyie hamjui zenu zitafanana vipi. Nakuhakikishia zenu pia hazitakuwa na mahali pa kulala na zitakuwa na muonekano mbaya kushinda hizi.
Unabishana na mtu anayekaa sehemu Gautrain iko?Unasema station zao ni simple. Wewe ni kichaa, umeona station zenu kwenye hio video ya Yapi Merkezi ya November uone jinsi station zenu ni mbovu? Sio kwa ubaya ila huwezi linganisha station za Gautrain na zenu. Hata kwa ukubwa station za Gautrain ni kubwa kushinda zenu. Infact station za Sgr ya Kenya ni kubwa na rembo kushinda zenu. Halafu kwenye train, usiongee vibaya kuhusu train yao eti ni simple ama haina sehemu za kulala ilhali nyie hamjui zenu zitafanana vipi. Nakuhakikishia zenu pia hazitakuwa na mahali pa kulala na zitakuwa na muonekano mbaya kushinda hizi.
Hahaha huku yeye yuko kiberaUnabishana na mtu anayekaa sehemu Gautrain iko?
Ushaambiwa Gautrain ni ya mjini tu.Umesahau miundo mbinu. Gautrain ina viaduct ya 10km na yenu ina viaduct ya 1 km hapo Dar station. Station zao ni kali kushinda zenu. Train zao ni kali sana ila zenu bado hatujui kama zitakua poa au zitakua mikebe ya gongo.
Duh. Sawa. Wacha mjadala uishie hapo.Acha kubisha bila uhakika ili mradi tu ili nawewe uonekane umechangia, I am trying to explain to you from the first hand experience.
Design ya stations za Gautrain ni kwa ajili ya inter city mass transport. Ukiingia ndani ya Gautrain station halls una very few options, you can either go to the Automatic ticketing machine or go to sales counter, there is no place where you can seat down for a coffee or cold drinks. Otherwise you are required to go straight to the train platforms where there are some few very uncomfortable steel benches for you to wait for your train to arrive, most people prefer to wait their trains while standing.
Yale majengo makubwa unayoona ya Gautrain stations most of them ni parking lots kwa sababu Watu bwana park magari Yao asubuhi wanapokwenda ofisinin na Kurd kuchuka join wanaporudi home so there is a big demand ya parking wktk stations.
The Dar es salaam SGR station building is way bigger and sophicated that any of the existing Gautrain stations.
That's my Gautrain card by the way.
View attachment 1326799
Hunijui. Hujui maisha yangu imekaa vipi.Hahaha huku yeye yuko kibera
Kwan nan kaquoteHunijui. Hujui maisha yangu imekaa vipi.
Ulikuwa unasema kwamba naishi Kibera.Kwan nan kaquote
Mi nimesema tu...hata post yako sijaionaUlikuwa unasema kwamba naishi Kibera.