Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kwa wale mnofanyaga maonyesho ama shuguli za kuwatunza naomba niwaase muwe makini sana na hili..kumezuka swala la kuweka big g kwenye soli zikitambaa kila kona na wakati wakienda kushangilia unawez hisi wako na wewe la hasha wanafwata kwenye hela na kuzikanyaga zile hela yamkini wanaweza kuja a hadi buku MKONONI la ajabu wanafwata kwenye buku kumi kumi zilizo chini tu
kama unajua unafanya shuguli ya kutunza kuwa makni technolojia ya sasa waanyoifwata watu nahisi inapitiliza kikomo....yawezekana ukaona kumi kumi zikia mwaga mwisho wa siku amini usiamini hutoziona hata moja na akuna ata mmoja ambae ameinama kuzichukua kazi kwako
kila kitu wanachakachua hadi zawadi za kutunzwa
kama unajua unafanya shuguli ya kutunza kuwa makni technolojia ya sasa waanyoifwata watu nahisi inapitiliza kikomo....yawezekana ukaona kumi kumi zikia mwaga mwisho wa siku amini usiamini hutoziona hata moja na akuna ata mmoja ambae ameinama kuzichukua kazi kwako
kila kitu wanachakachua hadi zawadi za kutunzwa