Wala sio maneno, nakuwekea uhalsia, hebu soma comments humu za Watanzania wanaohangaika na hayo mabasi.
Hapa tunakaribia posta Tazama ndio wamejaa kama ulivyodai,
View attachment 1374525
Sent using Jamii Forums mobile app
mwenye mada kakimbia, mara ya mwisho alionekana kivukoni ferry, sijui sasa kafikia wapi.
Mradi ununuliwe na kampuni binafsi halafu nauli iongezwe 1,000 ili kuongeza ufanisi, hapo ndio mtateleza kwa raha zenu, lakini hili la kutegemea ruzuku ya serikli, mtakwama sana.
Mchana huu kutoka Kimara mbona freshi, naomba utupe mrejesho wakati mnarudi Uswazi.
Unataka kuniambia mpaka leo hujasafiri hata nchi moja ya ulimwengu wa Kwanza kiasi cha kutoelewa Rush hours zinakuwaje duniani kote?
Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nilikuwekea picha asubuhi, mbona dada yako sasa hivi yuko na mimba ya kajamba kama wewe.I have given you the experience just a minutes ago. This is the best thing you need in your filthy city.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio shida nipo hapa UDSM napiga Bachelor of Art in Development studies. Public private partnership ilinivutia kinyama, sema ndio hivyo waafrika hatukubali kuendeshwa na waliochini yetu.
Na matatizo yanaanzia kwenye kupeana connection watu hata hawana determination wanapewa mradi waipige Nchi bora huko Kenya mnajitahidi.
Ila sio kihivyo kuna sehemu viongozi nao wanazingua, acha tu.
Mwendokasi naiona inalipa kichizi
Sio kwa style ya kwenu hapo, full pasua kichwa, hivi hujaona hayo hayo mabasi ya BRT watu wakiingilia dirishani.
Kuna circumstances, kunakuwa na Mafuriko au hiyo siku madereva waligoma, but katika hali ya kawaida mradi uko poa sana, na nitatuma mapichapicha wakati wa kurudi ukitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia mwendokasi kama ilivyo sasa ni kero sana inahitaji maboresho mengi sana, nashukuru mimi kwetu Tabata hayapo lakini nawaonea huruma watu wa Kimara na MbeziKuna circumstances, kunakuwa na Mafuriko au hiyo siku madereva waligoma, but katika hali ya kawaida mradi uko poa sana, na nitatuma mapichapicha wakati wa kurudi ukitaka
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano ipi?Ina maana mtu ambae hajafika chuo hawezi kuona ukweli? Ni fala tu (tena fala asiejua hospitality industry ya nchi hii ipoje) ndie atakaekana ukweli kuwa hospitality industry (na si Tanzania tu bali hata Uganda na South Sudan kwa uchache) ipo dominated na Wakenya kwenye management.
Dogo soma shule Kisha Tafuta hela, Tafuta bilioni 4000Tsh halafu zungumza na Tanroads ujenge Highway toka Dar hadi Arusha, funga tolls watu tukulipe, tukamue vitoyota vyetu masaa matatu hadi arusha,
Unadhani kupata huo mpunga ni Kitu simple huku africa? Waliochini unataka wafanyaje? Serikali inahitaji sana hao wawekezaji but kwa good terms, vinginevyo mtauzwa mstuke nchi yenu imekuwa ya kichoko tu kama Kenya, kumpata mtu aliye tayari kuwekeza kwenye miradi mikubwa sio kitu rahisi, hata walio na mtaji wanahitaji kufikiria na kujihami sana, mradi wa Nairobi Mombasa highway hadi leo politics tupu pamoja na kuwa mwekezaji ni US pesa si shida kwake .
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha, naona unaokoteza habari za hapa na pale just to make it look bad, but ukweli ni kuwa 200K wanasafiri humo per day,
Na faida inayotengenezwa na hayo mabasi law Mwezi ni Sawa na Mapato ya SGR ya kenya Mwaka mzima, mimi nasafiri na hizi gari mara nyingi na ni very comfortable.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mzee nimekuelewa, nataka uelewe pia private sector haimaanishi wazungu tu tuna waafrika hapa ndani wapo tayari just tenda itangazwe na kuwe na check up zaidi.
Hiyo kozi niliyotaja haiangalii zaidi foreign investment inaangalia effective and efficient utilization of country scarce resources in achieving goals.
Hebu fikiria UDART wakitenga siku maalumu au usiku kwa ajili ya Services ya mabasi ili asubuhi hadi jioni wahakikishe mabasi yote yako on services wanaweza kusaidia kidogo na pia wakiweka wahudumu ndani ambao watajua idadi ya nafasi zilizobaki wawataarifu walio kituoni ili wajue abiria wangapi wanaingia itazuia kubanana hovyo.
I am Tanzanian i believe we have power to change without foreign intervention tatizo ni soft infrastructures, kama zinatukomoa na sio kusaidia.
aiseee.....Maisha yangu yote hapa Dar nilipanda mwendo kasi siku moja tu na sitamani tena, nilibanwa mbavu kidogo waniue...