Watch "VID-20180608-WA0181.mp4" on YouTube

Watch "VID-20180608-WA0181.mp4" on YouTube


Kill, cramp and paralyze all weak at conception, Wipe them out of creation, Shehe mawazo yako dhaifu sana, wakati wa kuzungumzia mshikamano na Umoja we Sheikh unaleta udini hapo ndio huwa sikuelewi kabisa!!! Kuna muhusika mmoja kwenye mchezo wa Tendehogo yeye alikuwa ndio mlinzi wa msafara wa Watumwa kwenda pwani kazi kapewa na mwenye watumwa wake Mwarabu. Shehe wangu hii kazi ingekufaa sana naona wote ungehahakisha tumefika Bagamoyo na labda tungekuwa tushajua hata kuongea kiarabu. Utumwa wa kimwili tulishautokomeza nafikiri karne zimepita sasa, lakini utumwa wa akili huo bado sana.
 
Kill, cramp and paralyze all weak at conception, Wipe them out of creation, Shehe mawazo yako dhaifu sana, wakati wa kuzungumzia mshikamano na Umoja we Sheikh unaleta udini hapo ndio huwa sikuelewi kabisa!!! Kuna muhusika mmoja kwenye mchezo wa Tendehogo yeye alikuwa ndio mlinzi wa msafara wa Watumwa kwenda pwani kazi kapewa na mwenye watumwa wake Mwarabu. Shehe wangu hii kazi ingekufaa sana naona wote ungehahakisha tumefika Bagamoyo na labda tungekuwa tushajua hata kuongea kiarabu. Utumwa wa kimwili tulishautokomeza nafikiri karne zimepita sasa, lakini utumwa wa akili huo bado sana.
Dunyua,
Ungesikia mhadhara wangu MUM labda ungekuwa katika hali ya
kuweza kutoa fikra yako.

Bahati mbaya umetoa fikra yako katika maswali niliyoulizwa na
wale waandishi waliosikiliza mhadhara wangu.

Umegusia suala la utumwa.
''Tendehogo,'' kitabu hiki nimekisoma miaka mingi sana iliyopita.

Nakuongezea kitabu kingine namna ya hicho: ''Uhuru wa Watumwa,''
cha James Mbotela.

Nimekisoma 1960 nikiwa darasa la tatu.

Mwisho ili uwe mwerevu katika historia ya utumwa nakupa rejea hii:

Historical Context: Facts about the Slave Trade and Slavery | Gilder Lehrman Institute of American History

Tuanze na haya kwanza.
 
Dunyua,
Ungesikia mhadhara wangu MUM labda ungekuwa katika hali ya
kuweza kutoa fikra yako.

Bahati mbaya umetoa fikra yako katika maswali niliyoulizwa na
wale waandishi waliosikiliza mhadhara wangu.

Umegusia suala la utumwa.
''Tendehogo,'' kitabu hiki nimekisoma miaka mingi sana iliyopita.

Nakuongezea kitabu kingine namna ya hicho: ''Uhuru wa Watumwa,''
cha James Mbotela.

Nimekisoma 1960 nikiwa darasa la tatu.
Mwisho ili uwe mweruvu katika histria ya utumwa nakupa rejea hii:
Historical Context: Facts about the Slave Trade and Slavery | Gilder Lehrman Institute of American History

Tuanze na haya kwanza.
Dunyua,
Mhadhara nilitoa MUM ulikuwa unahusu waasisi wa taifa hili ambao
historia imewasahau.

Baadhi yao ni hao hapo chini:

Mohamed Said: MAZUNGUMZO NA WAANDISHI WA HABARI BAADA YA MHADHARA WA HISTORIA YA UHURU WA TANGANYIKA MUSLIM UNIVERSITY MOROGORO


Mshume Kiyate na Nyerere Baada ya Maasi
ya Wanajeshi 1964


WAZEE+WA+TANU.jpg

Waliosimama wa pili kulia ni Mzee Mshume Kiyate


Kulia Mshume Kiyate, Julius Nyerere, Max Mbwana na Mwinjuma
Mwinyikambi, 1962


''Kuna picha mashuhuri ya Mzee Mshume na Baba wa Taifa iliyopigwa Novemba 1962 wakati wa Uchaguzi Mkuu.

Picha hiyo inamuonesha Mzee Mshume akiwa amevaa koti, kanzu na kofia amemshika Baba wa Taifa mkono akimsindikiza kupiga kura.

Karika utawala wa Baba wa Taifa, magazeti ya ''Uhuru'' na ''Daily News,'' yamekuwa yakiitumia picha hii kila baada ya miaka mitano katika uchaguzi wa rais kama njia ya kuwahamasisha watu kupiga kura na kumchagua Baba wa Taifa. ''

MTAA%2BWA%2BTANDAMTI%2B1.jpg

Mtaa huu wa Tandamiti ulipewa jina la Mzee Mshume Kiyate
kwa ajili ya kutambua mchango wake kwa Baba wa Taifa Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere na kwa TANU na juhudi zake
katika kupigania uhuru wa Tanganyika miongo miwili imepita
kibao hakijabadilishwa



Kulia: Ilyas Abdulwahid Sykes, Daisy Abdulwahid Sykes, Mwandishi
akiwa ameshikilia Medali ya Mwenge wa Uhuru ya Abdulwahid Sykes,
Misky Abdulwahid Sykes na Kleist Abdulwahid Sykes



Kulia Bi Titi Mohamed, Clement Mtamila, Sheikh Suleiman Takadir,
Nyuma kulia John Rupia, Rajab Diwani Mama Maria Nyerere
 
Back
Top Bottom