TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
I am watching CNN right now wana ile kipindi ya Inside Africa
Andrew Young is talking about Makonde carvings, uniqueness of Tanzanians, Tanzanite, Reginald Mengi na utalii, amempamba sana Mengi na ameipamba Tanzania na ama film kuhusu Tanzania.... yaani he has done what TTB has failed to do
His best statement - ni pale aliposema huwezi kumsaidia very poor person ukiwa super rich kwa "aid" bali ni kwa trade na kwa tanzania ni tourism, wakati naangalia hii mwenguo, mkurugenzi wa marketing na meneja wake wako US kwenye road show wanagawa fliers na I feel melancholic gademu!!! he has his issue and for sure his vested interest are much too much mazee= but at least i will take this one positively.
But wait, I cant just let this pass, Mwenguo mkurugenzi mkuu unaenda kugawa brochure wakati hiyo ni kazi ya enrty level staffs na wale wa information and marketing!!! unaacha kukaa kwenye strategic environment unafukuzia per diems? Kweli baba hii ndio directorship ya TTB inavyotakiwa iwe?
Andrew Young is talking about Makonde carvings, uniqueness of Tanzanians, Tanzanite, Reginald Mengi na utalii, amempamba sana Mengi na ameipamba Tanzania na ama film kuhusu Tanzania.... yaani he has done what TTB has failed to do
His best statement - ni pale aliposema huwezi kumsaidia very poor person ukiwa super rich kwa "aid" bali ni kwa trade na kwa tanzania ni tourism, wakati naangalia hii mwenguo, mkurugenzi wa marketing na meneja wake wako US kwenye road show wanagawa fliers na I feel melancholic gademu!!! he has his issue and for sure his vested interest are much too much mazee= but at least i will take this one positively.
But wait, I cant just let this pass, Mwenguo mkurugenzi mkuu unaenda kugawa brochure wakati hiyo ni kazi ya enrty level staffs na wale wa information and marketing!!! unaacha kukaa kwenye strategic environment unafukuzia per diems? Kweli baba hii ndio directorship ya TTB inavyotakiwa iwe?