Wateja wangu wa ufugaji samaki

Wateja wangu wa ufugaji samaki

Joined
Sep 5, 2014
Posts
45
Reaction score
37
Jamani kuna watu wanapiga simu wanaweka order za vifaranga mtu unatumia garama mwisho ukifika anazima simu naomba km huitaji kitu pita wenzenu hapa ndio tunapatia chakula na kulipa Kofi.

Pia niwashukuru wale wanaotuamini na kututumia vizuri na hutegemea mavuno mazuri kwetu Mungu awabariki sana pia kwa wateja wapya wataalamu tupo hatuna kazi tushirikiane kwapamoja.

Kwa maoni na ushauri 0769752665/0786688200 sezari zote sinapatikana WhatsApp
Sezarialfred@gmail.com
IMG_20181217_123416.jpeg
IMG-20181220-WA0016.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeeleweka mkuu!! bado tunachimba mabwawa na kumalizia cage
 
Bando bio mtaalam wa samaki Bado natoa huduma 0769752665 kwa uaminifu zaidi
 

Attachments

  • VID-20241207-WA0008.mp4
    3.3 MB
  • VID-20241106-WA0068.mp4
    4.2 MB
Back
Top Bottom