Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Kusema kweli Mkurugenzi, Meya na Madiwani mliopo Manispaa ya Morogoro Hamueleweki, Sijui huwa mnafikiria kwa kutumia vichwa gani? Hivi kweli Daladala Zote zinazotoka Pembezoni ya Mji kuja kati ya mji zinakosa sehemu Rasmi ya Kupakia Abiria?
Mwanzoni walikuwa wakitumia Stand ya Zamani Mkawaondoa mkafamya Parking, Kimbilio likawa eneo la Masika na sasa mmewaondoa ili hali TeTesi zkisemakana mmechukua pesa kutoka kwa BM aliyejenga Ghorofa lake bila parking ili afanye Parking hapo, hibi kweli Mmeondoa Maslahi mapana ya wanachi wwngi kwa sababu ya mtu mmoja? Katikati ya mji kote hakuna sehemu rasmi.ya kuapanda daladala? Kisha mnajidanganya patakuwa jiji?
Mwanzoni niliwashangaa kipindi chote cha Ujenzi wa SGR mmeshindwa kujenga Stand karibu nakituo cha treni ya mwwndo kasi kumbe ni tabia zenu kutokujali
Mwanzoni walikuwa wakitumia Stand ya Zamani Mkawaondoa mkafamya Parking, Kimbilio likawa eneo la Masika na sasa mmewaondoa ili hali TeTesi zkisemakana mmechukua pesa kutoka kwa BM aliyejenga Ghorofa lake bila parking ili afanye Parking hapo, hibi kweli Mmeondoa Maslahi mapana ya wanachi wwngi kwa sababu ya mtu mmoja? Katikati ya mji kote hakuna sehemu rasmi.ya kuapanda daladala? Kisha mnajidanganya patakuwa jiji?
Mwanzoni niliwashangaa kipindi chote cha Ujenzi wa SGR mmeshindwa kujenga Stand karibu nakituo cha treni ya mwwndo kasi kumbe ni tabia zenu kutokujali