A
Anonymous
Guest
Ofisi za postgraduate SUA ni changamoto kubwa sana kwa wanachuo yaani kama sio mazingira ya rushwa basi kuna changamoto kubwa kwenye usimamizi wao.
Nadhani wanachangia kwa sehemu kubwa wanafunzi kutokumaliza kwa wakati.
Unaweza kupeleka document lakini kuja kupata majibu ni kazi kubwa sana. Lakini pia customer care yao ni zero, hata namba za simu sijui wanaweka kwa ajili ya kazi gani kwenye hizo ofisi hazipokelewi hii Sasa ni changamoto.
Nadhani wanachangia kwa sehemu kubwa wanafunzi kutokumaliza kwa wakati.
Unaweza kupeleka document lakini kuja kupata majibu ni kazi kubwa sana. Lakini pia customer care yao ni zero, hata namba za simu sijui wanaweka kwa ajili ya kazi gani kwenye hizo ofisi hazipokelewi hii Sasa ni changamoto.