Watendaji Wakuu Wa Chama Cha Mapinduzi Ziarani Mikoa Mbalimbali. Dkt Bashiru Yupo Mtwara, Humphrey Polepole Pemba

Watendaji Wakuu Wa Chama Cha Mapinduzi Ziarani Mikoa Mbalimbali. Dkt Bashiru Yupo Mtwara, Humphrey Polepole Pemba

Boniphace Kichonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2017
Posts
1,605
Reaction score
1,957
Wadau.

Watendaji Wakuu Wa CCM Ziarani Mikoani.

Dkt Bashiru Ally ameanza Ziara ya Siku 3 Mtwara.

Humphrey Polepole ameanza Ziara ya Siku tisa Kisiwani Pemba.

FB_IMG_15822833053106780.jpg
FB_IMG_15822818317581339.jpg
 
Wameanza kutapatapa sasa
Waambie watapata tabu sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi kwann hawa wanapofanya ziara huwa hatusikii taarifa za kiintelijensia kuhusu uvunjifu wa amani au ccm ndio wanahusika kuvunja amani kwenye mikutano ya vyama vingine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom