Brojust
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 349
- 1,024
Salaam.
Nimeliona hili muda mrefu ila sababu leo ni Dabi ya kariakoo nimeamua kuliongelea.
Nimeliona kwa baadhi ya wasanii, comedian, watangazaji na baadhi ya watu maarufu.
Utakuta mtu ana mkataba na Yanga, alafu pia ana mkataba na wasafi bet, sasa anavaa jezi ya Yanga alafu ana Blur mdhamini wa yanga ambae ni sportpesa
Kingine kibaya zaidi mtu anavaa jezi ya yanga au simba alafu anageuza mbele nyuma ili kuficha makampuni hayo.
Watu wa marketing na branding, wanasheria na watu wa FCC naona kuna kitu hapa hakijakaa sawa.
Naombeni maoni yenu kama mdau.
USHAHIDI! Ingia kwenye page za nasibu, angalia post za Leonardo comedian, anglia pia baadhi ya post za mwijaku.
Ahsanteni;
#YANGABINGWA
Nimeliona hili muda mrefu ila sababu leo ni Dabi ya kariakoo nimeamua kuliongelea.
Nimeliona kwa baadhi ya wasanii, comedian, watangazaji na baadhi ya watu maarufu.
Utakuta mtu ana mkataba na Yanga, alafu pia ana mkataba na wasafi bet, sasa anavaa jezi ya Yanga alafu ana Blur mdhamini wa yanga ambae ni sportpesa
Kingine kibaya zaidi mtu anavaa jezi ya yanga au simba alafu anageuza mbele nyuma ili kuficha makampuni hayo.
Watu wa marketing na branding, wanasheria na watu wa FCC naona kuna kitu hapa hakijakaa sawa.
Naombeni maoni yenu kama mdau.
USHAHIDI! Ingia kwenye page za nasibu, angalia post za Leonardo comedian, anglia pia baadhi ya post za mwijaku.
Ahsanteni;
#YANGABINGWA