Watengenezaji wa bia mnakuwa kama mmekula dili na wauzaji

Watengenezaji wa bia mnakuwa kama mmekula dili na wauzaji

Shujaa Nduna

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2022
Posts
599
Reaction score
487
Zamani ilikuwa bia kubwa tu basi burudani, lakini sasa bia ndogo zimetapakaa lakini kitu ambacho sikipendi watu wa bar na grocery wanaweka kwa wingi bia ndogo kwa makusudi halafu bei sawa bia kubwa.

Sasa watu wa breweris kwanini mpo tu wakati wakati wateja tunakuta tusichokipenda kwa bei ghali?

Baadhi ya maeneo bia ndogo buku mia 7. Lakini sehemu nyingine buku 2.

Hitimisho langu bia zote ndogo Kilimanjaro, Safari na Serengeti ziuzwe chini ya 2000 ma kubwa iwe 2000.

Nimekasirika na nitaanzisha mgomo
 
Zamani ilikuwa bia kubwa tu basi burudani,lakini sasa bia ndogo zimetapakaa lakini kitu ambacho sikipendi watu wa bar na grocery wanaweka kwa wingi bia ndogo kwa makusudi halafu bei sawa bia kubwa.Sa watu wa breweris kwanini mpo tu wakati wakati wateja tunakuta tusichokipenda kwa bei ghali?Baadhi ya maeneo bia ndogo buku mia7.Lakini sehemu nyingh buku2.Hitimisho langu bia zote ndngo kilimanjaro,safari na serengeti ziuzwe chini ya 2000 ma kubwa iwe 2000.Nimekasirika na nitaanzisha mgomo

Bia kubwa hata haipendez kwa kwl
 
1700 ndio bei elekezi, japo kuna wahuni wanakuja hadi 2000!!

Basi huku tunajipoza na Kombucha kwanza ndio unaingia bar kulamba lamba serengeti 3 unarudi getto
 
Wewe sio mwanachama hai. Bia ikipanda bei unapunguza matumizi ya nyumbani kumaintain kiasi cha bia unachokunywa
 
Nadhani Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo local bia ni bei rahisi sanaa
 
Back
Top Bottom