INAUZWA Water bore hole

INAUZWA Water bore hole

Tanteki

Member
Joined
Sep 26, 2022
Posts
5
Reaction score
3
Tunachmba visima vya maji virefu kwa mikoa yote kwa elfu 60 mita morogoro

Tanga,bagamoyo mtwara lindi na pwani Dar 80 elfu

Iringa,dodoma,singida,tabora,mbeya manyara 90 elfu.

Shinyanga ,mwanza, mara Arusha na kilimanjaro laki 1. Na 30
_20220920_180902.JPG
237.jpg
 
... ukakika wa kuyapata hayo maji unakuwa upo au ni bahati nasibu? Kwamba mkishafikisha hizo mita 80 yapatikane, yasipatikane is none of your business?
 
Kwa iyo gharama za usafiri kuleta mitambo km nipo singida ni nyie wenyewe?
 
... ukakika wa kuyapata hayo maji unakuwa upo au ni bahati nasibu? Kwamba mkishafikisha hizo mita 80 yapatikane, yasipatikane is none of your business?
Hiyo ni bei kwa mkoa uliopo
 
Back
Top Bottom