Hivi water pump generators,,,brand name gani ni imara kwa shughuli za umwagiliaji?..ushauri unahitajika,,ikiwezekana ata bei nifahamishwe..Asanteni kwa wasaa wenu
Mkuu plz naitaji Nch2 tu Kwa ajiri ya ku pump maji kutoa bwawani kuyaleta kwenye dimbwi nililo Jenga Ili kunipa urahisi wa kumwagilia.
Je inauzwa sh ngap huko ulipo?
Nisaidie
Hivi water pump generators,,,brand name gani ni imara kwa shughuli za umwagiliaji?..ushauri unahitajika,,ikiwezekana ata bei nifahamishwe..Asanteni kwa wasaa wenu