Water pump ipi inafaa kwa kumwagiliaji?

Water pump ipi inafaa kwa kumwagiliaji?

markbusega

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2015
Posts
826
Reaction score
848
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi?

vigezo ninavyovitaka

1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200

2. Ulaji mzuri wa mafuta

3. Upatikanaji rahisi wa vipuri

4. Uwezo wa mafundi kumudu kuitengeneza ikiharibika.

5. Kudumu muda mrefu

6. Gharama nafuu

Naomba ushauri kwa wazoefu
 
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi?

vigezo ninavyovitaka

1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200

2. Ulaji mzuri wa mafuta

3. Upatikanaji rahisi wa vipuri

4. Uwezo wa mafundi kumudu kuitengeneza ikiharibika.

5. Kudumu muda mrefu

6. Gharama nafuu

Naomba ushauri kwa wazoefu
mawazo yenu tafadhali wakuu, karibuni
 
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi?

vigezo ninavyovitaka

1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200

2. Ulaji mzuri wa mafuta

3. Upatikanaji rahisi wa vipuri

4. Uwezo wa mafundi kumudu kuitengeneza ikiharibika.

5. Kudumu muda mrefu

6. Gharama nafuu

Naomba ushauri kwa wazoefu
Utasaidiwa iwapo utaeleza ukubwa wa mradi.

Ekari moja, ekari 5- 10 au zaidi.

Kwa ekari mbili nunua king max au honda au boss inchi 3 itakutosha. Mpira mita 100 ni around 200000 hivyo mipira iwe miwili. Mashine mpya ni 350 000 hadi 400 000 na kolomeo mita 3 kama 60 000 kwa Mwanza.
Hapa maji yawe ya mtoni au bwawani/ ziwani. Kama maji ni ya kisima kirefu subiri wanakuja.

Usiondoke hapohapo hawachelewi wanamalizia tu kula.
 
Utasaidiwa iwapo utaeleza ukubwa wa mradi.

Ekari moja, ekari 5- 10 au zaidi.

Kwa ekari mbili nunua king max au honda au boss inchi 3 itakutosha. Mpira mita 100 ni around 200000 hivyo mipira iwe miwili. Mashine mpya ni 350 000 hadi 400 000 na kolomeo mita 3 kama 60 000 kwa Mwanza.
Hapa maji yawe ya mtoni au bwawani/ ziwani. Kama maji ni ya kisima kirefu subiri wanakuja.

Usiondoke hapohapo hawachelewi wanamalizia tu kula.
Nimeipenda hii, vipi kwa shamba la ukubwa wa heka 3.25 na kamuinuko kidogo kutoka mtoni mpaka juu kichwani pa shamba. Je pump ipi iko good?
 
Utasaidiwa iwapo utaeleza ukubwa wa mradi.

Ekari moja, ekari 5- 10 au zaidi.

Kwa ekari mbili nunua king max au honda au boss inchi 3 itakutosha. Mpira mita 100 ni around 200000 hivyo mipira iwe miwili. Mashine mpya ni 350 000 hadi 400 000 na kolomeo mita 3 kama 60 000 kwa Mwanza.
Hapa maji yawe ya mtoni au bwawani/ ziwani. Kama maji ni ya kisima kirefu subiri wanakuja.

Usiondoke hapohapo hawachelewi wanamalizia tu kula.
asante mkuu
 
Utasaidiwa iwapo utaeleza ukubwa wa mradi.

Ekari moja, ekari 5- 10 au zaidi.

Kwa ekari mbili nunua king max au honda au boss inchi 3 itakutosha. Mpira mita 100 ni around 200000 hivyo mipira iwe miwili. Mashine mpya ni 350 000 hadi 400 000 na kolomeo mita 3 kama 60 000 kwa Mwanza.
Hapa maji yawe ya mtoni au bwawani/ ziwani. Kama maji ni ya kisima kirefu subiri wanakuja.

Usiondoke hapohapo hawachelewi wanamalizia tu kula.
Nahitaji hii kitu. Unapatina mwanza mtaa gani
 
Nimeipenda hii, vipi kwa shamba la ukubwa wa heka 3.25 na kamuinuko kidogo kutoka mtoni mpaka juu kichwani pa shamba. Je pump ipi iko good?
Pump inchi 3 inatosha kama una muda wa kumwagilia. Pump hii inamwagilia ekari moja kwa saa 10 ( ita siku moja). Kama utafanya kazi na usiku inamwagilia ekari mbili.

Angalizo: badili oili kila baada ya saa 40 za kazi vinginevyo utasema pump mbovu
 
Nina mpango wa kuanza kilimo cha mboga eneo ninalotegemea kuvuta maji ni mita 200 je nichukue pump ipi?

vigezo ninavyovitaka

1. Uwezo wa kumudu kuvuta na kusukuma maji umbali wa mita 200

2. Ulaji mzuri wa mafuta

3. Upatikanaji rahisi wa vipuri

4. Uwezo wa mafundi kumudu kuitengeneza ikiharibika.

5. Kudumu muda mrefu

6. Gharama nafuu

Naomba ushauri kwa wazoefu
Naomba data hizi

1. Elevation ya sehemu ya chanzo.

2. Elevation ya sehem shamba lilipo na useme kama unayapandisha kwenye tank.

Kama hayo ukishindwa nipatie coordinates za chanzo na za shamba.

NB: Unataka chukua maji kwenye chanzo gani mto au kisima?
 
Pump inchi 3 inatosha kama una muda wa kumwagilia. Pump hii inamwagilia ekari moja kwa saa 10 ( ita siku moja). Kama utafanya kazi na usiku inamwagilia ekari mbili.

Angalizo: badili oili kila baada ya saa 40 za kazi vinginevyo utasema pump mbovu
eka 10 nahitaji mashine ya aina gani?
 
Back
Top Bottom