unataka ukimbie tozo ya bundle Boss,ni maisha fulani mazuri sana kutumia kitochiHivyo sivitumii kasoro simu..mwakani nataka nijaribu kusahau smartphone kwa miezi mitatu nione itakuaje
Weka simu yako kwa mawasiliano mkuu nataka Pump hiyoHehehehehee havina vimetumika hivyo na viko site
Acha kujitesa weweHivyo sivitumii kasoro simu..mwakani nataka nijaribu kusahau smartphone kwa miezi mitatu nione itakuaje
Hio printer italipukaWater pump Leo =300k
Printer canon na Hp=200k
Canon: inahitaji toner
Hp: printhead imekufa
Samsung note 9=400k
Washing machine( von hotpoint 10kg) = 50k
Washing machine: upande wa ku spin haufany kazi
Bati alaf la kigae gage 28 zipo 15pcs= 800k
Mazungumzo yapo..View attachment 2046762View attachment 2046763View attachment 2046764View attachment 2046765View attachment 2046766View attachment 2046767View attachment 2046769
PumbuHiyo pumb ni ya pipe nchi ngapi kampuni gani na 300k ikiwa complete na pipe zake au