Wateule wa Rais wapitishwe Jeshini kupata mafunzo

Wateule wa Rais wapitishwe Jeshini kupata mafunzo

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Wabunge na Watumishi wa Bunge waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa wameiomba serikali kuweka utaratibu wa viongozi wanaoteuliwa kupewa mafunzo ili kuwajengea moyo wa uzalendo, utii, uhodari na wepesi katika maamuzi kwenye nafasi zao.

Wabunge 21 na watumishi wa Bunge 18 wamepata na kuhitimu Mafunzo kwa Mujibu wa Sheria, (Operesheni Venance Mabeyo Kundi maalumu la Wabunge na Watumishi) wameiomba Serikali kuweka utaratibu wa viongozi wa kuteuliwa wakiwemo wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kupitia katika mafunzo hayo.

Binafsi nadhani huu ni utaratibu bora kama utaridhiwa na utawanyoosha hawa wateule kurudi katika mstari wa uadilifu kwa kiasi fulani.
 
Wabunge na Watumishi wa Bunge waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa wameiomba serikali kuweka utaratibu wa viongozi wanaoteuliwa kupewa mafunzo ili kuwajengea moyo wa uzalendo, utii, uhodari na wepesi katika maamuzi kwenye nafasi zao.

Wabunge 21 na watumishi wa Bunge 18 wamepata na kuhitimu Mafunzo kwa Mujibu wa Sheria, (Operesheni Venance Mabeyo Kundi maalumu la Wabunge na Watumishi) wameiomba Serikali kuweka utaratibu wa viongozi wa kuteuliwa wakiwemo wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kupitia katika mafunzo hayo.

Binafsi nadhani huu ni utaratibu bora kama utaridhiwa na utawanyoosha hawa wateule kurudi katika mstari wa uadilifu kwa kiasi fulani.

Viongozi wengi wezi na waliongia mikataba ya wizi wengi walipitia huko huko jkt.
 
Hakuna kiongozi wa Nchi yenye mafanikio anae andaliwa hovyo hivyo kama bao la kwanza. Huenda hizi nchi matapu tapu.
 
Hakuna kiongozi wa Nchi yenye mafanikio anae andaliwa hovyo hivyo kama bao la kwanza. Huenda hizi nchi matapu tapu.
Sisi tuna mfumo wa kuandaa viongozi kweli?
 
Walijengewa hiyo so called uzalendo. Truth is uzalendo unaanzia nyumbani, hauanzii jeshini. Ka mtu alikuwa muhuni, atakuwa hivyo tu.
Tufanye nini sasa kutoka hapa tulipo
 
Upumbavu mtupu,kwani Shimbo wa trilioni 4 alipita wapi?
Yule wa MSD alipita wapi?
Acheni mambo ya kuona jeshi halina watu ambao hawana maadili,pevukeni kifikra.
 
Wabunge na Watumishi wa Bunge waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa wameiomba serikali kuweka utaratibu wa viongozi wanaoteuliwa kupewa mafunzo ili kuwajengea moyo wa uzalendo, utii, uhodari na wepesi katika maamuzi kwenye nafasi zao.

Wabunge 21 na watumishi wa Bunge 18 wamepata na kuhitimu Mafunzo kwa Mujibu wa Sheria, (Operesheni Venance Mabeyo Kundi maalumu la Wabunge na Watumishi) wameiomba Serikali kuweka utaratibu wa viongozi wa kuteuliwa wakiwemo wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kupitia katika mafunzo hayo.

Binafsi nadhani huu ni utaratibu bora kama utaridhiwa na utawanyoosha hawa wateule kurudi katika mstari wa uadilifu kwa kiasi fulani.
Aliye kwambia mafunzo ya JKT ndo yanajenga uzalendo ni nani?

Kama ingekuwa hivyo, wanajeshi na police wasingekuwa mafisadi ja wala rushwa.
 
Wabunge na Watumishi wa Bunge waliohitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa wameiomba serikali kuweka utaratibu wa viongozi wanaoteuliwa kupewa mafunzo ili kuwajengea moyo wa uzalendo, utii, uhodari na wepesi katika maamuzi kwenye nafasi zao.

Wabunge 21 na watumishi wa Bunge 18 wamepata na kuhitimu Mafunzo kwa Mujibu wa Sheria, (Operesheni Venance Mabeyo Kundi maalumu la Wabunge na Watumishi) wameiomba Serikali kuweka utaratibu wa viongozi wa kuteuliwa wakiwemo wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa Halmashauri kupitia katika mafunzo hayo.

Binafsi nadhani huu ni utaratibu bora kama utaridhiwa na utawanyoosha hawa wateule kurudi katika mstari wa uadilifu kwa kiasi fulani.
Wanaopitia jeshini miezi mitatu ni wengi sana, jeshi lote la mgambo linahusika.
Hao wote hutofautiana na mgambo wa vijijini kwa sababu ya ajira
na vyeo tu.
 
Liechtenstein ni nchi isiyo na jeshi lakini uzalendo wanao. Wamewezaje?
 
Aliye kwambia mafunzo ya JKT ndo yanajenga uzalendo ni nani?

Kama ingekuwa hivyo, wanajeshi na police wasingekuwa mafisadi ja wala rushwa.
Kwanza angalia tu Rushwa ya ngono inavyotembea jkt kuanzia kwa makamanda mpaka makurut ndo utajua jesh la bongo ni ulamba asali tu siyo uzalendo, Vijana wanapokonywa nafasi sao na kupewa watoto wa wakubwa. Hao hao waleta mapendekezo ndo ovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom