Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Katika hatua za kuthibitishwa na seneti ya Marekani, Waziri mteule wa Ulinzi wa Marekani wa utawala wa Trump anasema anasapoti Israel "kuwaua" Hamas wote hadi wa mwisho kabisa!
Waziri mteule wa mambo ya nje wa Trump, Marco Rubio anasema Gaza itapata amani tu endapo Hamas watawaachilia mateka wote(sijui ni mateka gani ambao bado wanashikiliwa na Hamas mpaka sasa!). Pia anawaita Hamas "brutal savages". Ameishutumu vibaya mahakama ya ICC kwa kutoa hati ya kukamatwa Netanyahu akisema imepoteza muelekeo.
Anazidi kulishwa sumu na Republicans wenzake jinsi gani Biden ameipa nafuu Iran kwa kuilegezea vikwazo kupelekea uchumi waka kuimarika na kuifanya iweze kusapoti magaidi katika nchi mbalimbali Mashariki ya kati.
Moja ya mambo ambayo MAGA wafuasi wa Trump huko Marekani na hapa wa hapa Africa walikuwa wanapigia kelele ni utawala wa Biden kuikumbatia sana Israel na Ukraine na Marekani kuingilia migogoro ya mataifa mengine ambayo wanaamini haiwahusu!
Waziri mteule wa mambo ya nje wa Trump, Marco Rubio anasema Gaza itapata amani tu endapo Hamas watawaachilia mateka wote(sijui ni mateka gani ambao bado wanashikiliwa na Hamas mpaka sasa!). Pia anawaita Hamas "brutal savages". Ameishutumu vibaya mahakama ya ICC kwa kutoa hati ya kukamatwa Netanyahu akisema imepoteza muelekeo.
Anazidi kulishwa sumu na Republicans wenzake jinsi gani Biden ameipa nafuu Iran kwa kuilegezea vikwazo kupelekea uchumi waka kuimarika na kuifanya iweze kusapoti magaidi katika nchi mbalimbali Mashariki ya kati.
Moja ya mambo ambayo MAGA wafuasi wa Trump huko Marekani na hapa wa hapa Africa walikuwa wanapigia kelele ni utawala wa Biden kuikumbatia sana Israel na Ukraine na Marekani kuingilia migogoro ya mataifa mengine ambayo wanaamini haiwahusu!