inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Hakuna connection ya kushindwa kuimba nyimbo yako mwenyewe na ununuzi wa online.miziki yao huwa mnanunua kwenye online platform au mnawapiga misumari tu?
Nimeuliza tu kujua kama haya mahaba ya kulalamikia wasanii mnaowapenda pale mnapoona wamechemka kwenye shoo na kwenye manunuzi ya kazi zao pia mna mahaba hayo ?Hakuna connection ya kushindwa kuimba nyimbo yako mwenyewe na ununuzi wa online.
Kwa WATEULE,mwanamuziki na msanii pekee na kipaji ni Jay Mo tu.Hao wengine waliobakia ni Wasanii tu na walijikita huko kwakuwa hawakua na shughuli ingine ya msingi ya kufanya.Da mimi kama moenzi wa hip hop na mpenzi wa kundi la wateule nilosikitishwa na performance yao mbovu pale jukwaani.
Mtu pekee aliyelitendea haki jukwaa ni jaymoe,kwanza alikuwa anaimba bila play back alaf alikuwa anajaribu kumaliza nyimbo ila mox alikuwa anamuingilia inhilia na kuharibu performance yake.
Jafarai yeye ndo alichemka mpaka basi.Ikabidi ikifika zamu yake wawe wanakata tu.
Mox ndo hovyo kabisa alishindwa kuimba.Yaani bila jaymoe,wateule wangedharirika vibaya mno.
Sasa nimeamini kwanini Jaymoe aliamua kwenda solo,hawa jamaa wanamyeyusha.
Binafsi huwa ninanunua,hata tape albam ya Jay Mo' ya "Ulimwengu ndiyo mama" nilinunua back then.miziki yao huwa mnanunua kwenye online platforms au mnawapiga misumari tu?
Inahusiana nini sasa?Nimeuliza tu kujua kama haya mahaba ya kulalamikia wasanii mnaowapenda pale mnapoona wamechemka kwenye shoo na kwenye manunuzi ya kazi zao pia mna mahaba hayo ?
wewe haikuhusu kabisa hii.Inahusiana nini sasa?
Mkuu unapaswa kujua pia kwamba Mox na Jafari ni kama waliisha acha muziki kitambo sanaDa mimi kama mpenzi wa hip hop na mpenzi wa kundi la Wateule nilosikitishwa na performance yao mbovu pale jukwaani.
Mtu pekee aliyelitendea haki jukwaa ni Jaymoe, kwanza alikuwa anaimba bila play back halafu alikuwa anajaribu kumaliza nyimbo ila Mox alikuwa anamuingilia ingilia na kuharibu performance yake.
Jafarai yeye ndo alichemka mpaka basi ikabidi ikifika zamu yake wawe wanakata tu.
Mox ndo hovyo kabisa alishindwa kuimba. Yaani bila Jay Moe,Wateule wangedharirika vibaya mno.
Sasa nimeamini kwanini Jaymoe aliamua kwenda solo,hawa jamaa wanamyeyusha.