Wateuliwa tumepata funzo hakuna aliye juu ya Sheria

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Funzo ni kwamba kumbe akili za kuambiwa tuchanganye na zetu. Tusome vizuri katiba na sheria mbalimbali za nchi wakati wa kutekeleza majukumu yetu ya uteuzi. Hakuna aliye juu ya sheria kama sheria ikifuatwa bila kupindwa.

Mwenzetu akinyolewa sisi tufiche viwembe na mikasi badala ya kutia maji nywele zetu.
 
Hicho ni chambo. Subiri bonge la samaki lije linaswe ndo utajua ccm ni kusema kitu gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…