Uchaguzi 2020 Watia nia CCM Mbeya wachimbwa mkwara

CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha kijeshi kilichojivika koti la chama cha siasa. Na bila tume hii ya uchaguzi, na vyombo vya dola, ccm haiwezi kushinda uchaguzi.
CCM inamiliki vyombo vyote vya dola
CCM inamiki haxina
Usicheze na CCM!
 
Haa wameshapiga ramli ya wapiga kura kwamba CCM itashinda
 
CCM Ni ileeileee ooooh Ni ileileee.

Captain komba alishaimba. Mnahangaika bure Ila umoja uliopo Kati ya rushwa, roho mbaya na CCM huwezi kuutenganisha hata kidogo.t
Nilishangaa saana maana kiukweli wapinzani Tanzania hawana pa kusemea;
eti mtangazaji wa DW ya Germany anahoji wana CCM wanasema wapinzani hawasemi chochote kazi ni kumsifia Magufuli!!
Kama vile hawajui wapinzani hawaruhusiwi kufanya mikutano kuongea na wananchi hata mikutano ya ndani Polisi wanawakamata!!
Wamezibwa ka kona, sasa hivi ni uchaguzi mpaka sasa hawajaruhusiwa kufanya kampeini, CCM kina Popole na Bashiru& Co kampeini wanafanya kila leo!!
Wapinzani kina Lema wanapitia mitihani migumu saana.
Vyombo vya habari visiwe biased vitoe nafasi ya kujieleza kwa vikundi vyote!!
 
Unaweza kufikiri kuwa vyama vya upinzani vimekufa kumbe CCM ndio imekufa kabisa na kuoza. Unaogopa watia nia kukimbilia upinzani???
 
Duh.... hadi kwenye mashirika na kazi binafsi.... hii si vitisho vya moja kwa moja
 
CCM sio chama cha siasa, bali ni kikundi cha kijeshi kilichojivika koti la chama cha siasa. Na bila tume hii ya uchaguzi, na vyombo vya dola, ccm haiwezi kushinda uchaguzi.
Hata wenyewe wanalijua hilo wazi.
Kilichobakia ni wananchi kuachana na uoga na kusimama pamoja na kusimamisha udhalimu na ukandamizaji wao.
Huu ni mwaka wetu.
We shall overcome.
 
Wanajisahau sanaa
 

Kwamba watawateka na kuwadhuru?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…