Watia nia wa ubunge na udiwani CCM njia panda!

Watia nia wa ubunge na udiwani CCM njia panda!

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
9,524
Reaction score
13,682
Kwa sababu ya kukosekana uwazi na kanuni kupindishwa kwa maslahi ya wachache, sasa watia nia wote wa CCM matumbo moto kwa sababu hawana hakika majina yao yatakatwa katika hatua gani!

Hivyo baadhi yao wameamua ama kufanya ujasusi ili kujua kama wanakubalika na vigogo wa chama au kupotezea na kuanza kufikiria kuhama chama!!

Matokeo ya kadhia hii ni kujenga nyufa ndani chama na hatimaye kusambaratika kwa chama!!

Ushauri: Vigogo wa chama chukua hatua kurejea katika misingi ya chama ya haki na uwazi kunusuru kuanguka kwa nguzo muhimu za Chama!
 
Ila ccm mwaka huu kazi mnayo
Wenye kazi ni UKAWA, maana kwa sasa wanagombania kiti kimoja watu wa 4 hahahahaha pole sana mkija kuzinduka kumekucha, aibu hiyo, hii inaonesha namna gani mko kwa maslahi ya matumbo yenu nyie Ukawa.
 
Kwa sababu ya kukosekana uwazi na kanuni kupindishwa kwa maslahi ya wachache, sasa watia nia wote wa CCM matumbo moto kwa sababu hawana hakika majina yao yatakatwa katika hatua gani!

Hivyo baadhi yao wameamua ama kufanya ujasusi ili kujua kama wanakubalika na vigogo wa chama au kupotezea na kuanza kufikiria kuhama chama!!

Matokeo ya kadhia hii ni kujenga nyufa ndani chama na hatimaye kusambaratika kwa chama!!

Ushauri: Vigogo wa chama chukua hatua kurejea katika misingi ya chama ya haki na uwazi kunusuru kuanguka kwa nguzo muhimu za Chama!

'KITENGO' ndio kina engineer yote haya wakiondoe kinawamaliza bila kujijua
 
'KITENGO' ndio kina engineer yote haya wakiondoe kinawamaliza bila kujijua

Nawashauri muandae bakuli la kupokea makapi baada ya wanaume kufanya maamuzi sahihi mjengoni..
Btw, safari ya matumaini imeishia wapi? Au mmeshushiwa nyundo kinyesi kimewabana mko busy mnachimba dawa?
 
Nawashauri muandae bakuli la kupokea makapi baada ya wanaume kufanya maamuzi sahihi mjengoni..
Btw, safari ya matumaini imeishia wapi? Au mmeshushiwa nyundo kinyesi kimewabana mko busy mnachimba dawa?
Hakuna matumaini kwa EL hatumtaki mtu anayenuka rushwa kila kona ya mwili wake, aendelee na fani yake ya ufisadi tuu
 
Huyo nae anakulupuka tu kuongea bila kuangalia ya kwao waliotangaza nia kiti cha urais ccm walikuwa wangap na ukawa walikuwa wangap?tatizo la kula kupenda vipolo vilivyo chacha iyo
 
Shauri yenu chama ni cha familia Hata Makamu Rais , Waziri Mkubwa wote 5 bora hawakunusa
 
Back
Top Bottom