Gazeti la tz daima leo lina taarifa kuwa wafanyakazi wawili wa mgodi wa Buzwagi wametimuliwa kazi kwa kujihusisha na siasa na kuishabikia CHADEMA.
Inaonekana hawa jamaa wanajua kabisa kuwa CHADEMA ikiingia madarakani basi ubovu wa mkataba wao utawatokea puani...
Inaonekana hawa jamaa wanajua kabisa kuwa CHADEMA ikiingia madarakani basi ubovu wa mkataba wao utawatokea puani...