Abrakadabraaaa😄Taratibu basi msijeanza kunena kwa lugha
😂😂😂😂Basi yaishe! Usije kulia bure🙄
Naomba like yako ☺️Watoa likes wawe wanapewa likes nyingi.Siyo mtoa likes unakuta comment yake iko na like moja😳🙄....Jitahidini members...kuoneshana upendo siyo gharama.
Nimewasemea eti!?🥴
huyo CEO wa kitengo cha likesKuna mtu huyo sijui anaitwa rara reee huyo ukiwaza tu cha kucoment yeye kashalike huko huko kwenye mawazo yako
Naanzia hapa👍Watoa likes wawe wanapewa likes nyingi.Siyo mtoa likes unakuta comment yake iko na like moja😳🙄....Jitahidini members...kuoneshana upendo siyo gharama.
Nimewasemea eti!?🥴
raraa reree 🤣🤣🤭Kuna mtu huyo sijui anaitwa rara reee huyo ukiwaza tu cha kucoment yeye kashalike huko huko kwenye mawazo yako
Mabingwa ni raraa reree na min -meWatoa likes wawe wanapewa likes nyingi.Siyo mtoa likes unakuta comment yake iko na like moja😳🙄....Jitahidini members...kuoneshana upendo siyo gharama.
Nimewasemea eti!?🥴
raraa reree 🤣🤣🤭Kuna mtu huyo sijui anaitwa rara reee huyo ukiwaza tu cha kucoment yeye kashalike huko huko kwenye mawazo yako
Na Extrovert piaMabingwa ni raraa reree na min -me
Huyu nadhani ni roboti
Na miye nimekupa 😛😜Tayaree