Watora Mari: Jah anaappreciate mchango wa Chibu lakini kwetu huku Tz hakuna

Watora Mari: Jah anaappreciate mchango wa Chibu lakini kwetu huku Tz hakuna

Joined
Aug 2, 2011
Posts
50
Reaction score
55
Ngoma hii ya Jah Prayzah jamaa waliimba sana "Watora Mari" mshikaji akawekwa kwenye ramani ya Africa na Chibu na Jah anaappreciate mchango wa Chibu lakini kwetu huku Tz hakuna, international artist wetu hatumkubali sijui Diamond afanye kitu gani wasanii wenzake hasa wanaojiita timu pinzani waweze kumkubali...nimewaza tu hapa wkt nataka kulala kuandika.
 
Ohoo watora mari, watora king kimba, sikuhzi dijitali, show tunafanya kwenye mabaa tabata.
 
Siku hizi kidigital unapata ambacho unakiona,
Ya nini hospital wakati kwako napona,
Na penzi si suruali useme ikichanwa ntashona,
Hivyo chonde tafadhali usinieke miba itanichoma,[emoji446][emoji447][emoji443][emoji445]


ah darling,
ndatatamuka kunge ndandi inini
handichagone usasome moyo kungenjanji
[emoji331][emoji446][emoji446]
 
Naona Kama Dimond Alimsaidia Kumnunulia Views Jah Prayzah, Kama Alivyofanya Kwa Chege, Akothee Na AKA
 
Ngoma hii ya Jah Prayzah jamaa waliimba sana "Watora Mari" mshikaji akawekwa kwenye ramani ya Africa na Chibu na Jah anaappreciate mchango wa Chibu lakini kwetu huku Tz hakuna, international artist wetu hatumkubali sijui Diamond afanye kitu gani wasanii wenzake hasa wanaojiita timu pinzani waweze kumkubali...nimewaza tu hapa wkt nataka kulala kuandika.
Anaoimba nao wengi hawajui kiswahili wanadhani anaimba vitu vya maana Sisi tunajua kiswahili huwezi kutudanganya
 
Anaoimba nao wengi hawajui kiswahili wanadhani anaimba vitu vya maana Sisi tunajua kiswahili huwezi kutudanganya
na hao anaoimba nao vilugha vyao na vingereza uzuri tunawaelewa nao hawaimbagi vitu vya maana pia[emoji23][emoji23][emoji23]

bila bila!
mziki ni beat,flowz
mbona tunapenda miziki ya akina manfongo
"tekenya tekenya tekenya"
em niambie ndugu kuna cha maana hapo?
lakini unakuta watu wanaruka kama wanasikiliza remmy ongala ..
hao akina akina wizkid

"Girl, I go follow you bumper to bumper
Girl, I go follow you bumper to fender
Oh baby ohh whine your waist
Girl, I promise to be your defender
Girl, I go love january to december
Tell dem hater, send back to sender


kuna cha maana hapo?

mziki wa kuimba upo, na wa kisasa upo!
mziki mzuri waliimba kina mbaraka mwishehe!!
siku hizi ni kuruka tu ...ilimradi watu wamependa!
sasa kama wafatisha mashairi mazuri utaumia moyo..
maana hao wa mashairi mazuri hawana maendeleo yoyote!
 
aiseee! kati ya ngoma kali mwaka huu hii pia ni moja wapo! mafundi wawili kweli wameimba sana jamaa! ngoma imesimama vibaya mno!
 
na hao anaoimba nao vilugha vyao na vingereza uzuri tunawaelewa nao hawaimbagi vitu vya maana pia[emoji23][emoji23][emoji23]

bila bila!
mziki ni beat,flowz
mbona tunapenda miziki ya akina manfongo
"tekenya tekenya tekenya"
em niambie ndugu kuna cha maana hapo?
lakini unakuta watu wanaruka kama wanasikiliza remmy ongala ..
hao akina akina wizkid

"Girl, I go follow you bumper to bumper
Girl, I go follow you bumper to fender
Oh baby ohh whine your waist
Girl, I promise to be your defender
Girl, I go love january to december
Tell dem hater, send back to sender


kuna cha maana hapo?

mziki wa kuimba upo, na wa kisasa upo!
mziki mzuri waliimba kina mbaraka mwishehe!!
siku hizi ni kuruka tu ...ilimradi watu wamependa!
sasa kama wafatisha mashairi mazuri utaumia moyo..
maana hao wa mashairi mazuri hawana maendeleo yoyote!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] salute mkuu
 
jamaa anajua japo ana mapungufu yake lakini kazi anaijua sema kwetu hapa baadhi ya raia walisha zoea vitu vibaya na ni vigumu masikio yao kuweza kuelewa vitu vzr! hongera kwa kijana platnumz.
 
na hao anaoimba nao vilugha vyao na vingereza uzuri tunawaelewa nao hawaimbagi vitu vya maana pia[emoji23][emoji23][emoji23]

bila bila!
mziki ni beat,flowz
mbona tunapenda miziki ya akina manfongo
"tekenya tekenya tekenya"
em niambie ndugu kuna cha maana hapo?
lakini unakuta watu wanaruka kama wanasikiliza remmy ongala ..
hao akina akina wizkid

"Girl, I go follow you bumper to bumper
Girl, I go follow you bumper to fender
Oh baby ohh whine your waist
Girl, I promise to be your defender
Girl, I go love january to december
Tell dem hater, send back to sender


kuna cha maana hapo?

mziki wa kuimba upo, na wa kisasa upo!
mziki mzuri waliimba kina mbaraka mwishehe!!
siku hizi ni kuruka tu ...ilimradi watu wamependa!
sasa kama wafatisha mashairi mazuri utaumia moyo..
maana hao wa mashairi mazuri hawana maendeleo yoyote!

Shikamoo Princess Ariana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1619]
 
Back
Top Bottom